Mh Lowasa ndo kaibeba Ukawa Dr au Prof wasingefurukuta kwa Mh Magufuri wasingeiona hata namba ili wasome yaani ingekuwa mbali Lakini Mh Lowasa kaisoma namba ina maana alikuwa karibu nao sana angeweza hata kuwapita!
Angepitishwa na CCM kugombea Uraisi yangetokea haya 1.angeshinda kwa asilimia 99.9 2.upinzani ungefutika kabisaa kwani wangepata viti 3 kama siyo 1 cha Mh. Zito kwa maana hii Dar angepeta sanaa Arusha ndo usiseme Mbeya ndo kabisaa Mwanza ndo mwisho wa maneno hivyo Upinzani ingekuwa kwishinee...
Mhh! Tafiti nyingi hapa kwetu ni za kimaslahi zaidi kuliko uhalisia wa jambo lenyewe tuna miaka sasa kuwa tuna mafuta mengi hayachimbwi hayaonekani yalipo ila wanasema yapo! Wakati majirani zetu wamefanya tafiti na wameanza kuchimba naskia hivyo
Dini na siasa vinaenda pamoja kwani vinahusu ustawi wa watu kumjua Muumba wetu na kuwa na amani na watu wotee na mamlaka zote zatoka kwa Mungu! Kisichotakiwa ni siasa chonganishi! Hiyo ni sumu kama ramuli chonganishi siasa kama siasa haina shida mahali popote iwepo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.