Recent content by Natasha Ismail

  1. N

    Wananchi wa jimbo la mufindi kaskazini nakubali kuwatumikianagombea ubunge 2015.

    Mwaka huu sijatia timu,nilibanwa sana na shule huko ughaibuni 4yrs na pia msimamo wa chama chetu uko wazi NRNE.
  2. N

    Wimbi la single mother linatisha

    Wanawake tukiamua Tunaweza maliza wimbi la usingle mother.Tukiamua kubadilisha tabia na misimamo yetu juu ya mahusiano yetu ya kingono yanayopelekea mimba na baadaye mtoto.
  3. N

    Wananchi wa Goba wakarabati barabara wenyewe, Serikali za Mtaa washawishi bango litolewe

    Bango limeondolewa leo baada ya DC kutembelea eneo la mradi wa wananchi.
  4. N

    Hizi blender za Kenwood ambazo zimezagaa mtaani ni Original kweli?

    Nina KENWOOD nne Blender na Pressure cooker vyote kadi zimekufa.Naweza kujua repair center ya hawa jamaa kwa hapa bongo.
  5. N

    INAUZWA Electric and Gas fryer

    NAMBA YA SIMU?
  6. N

    Pongezi kwa jeshi la polisi, mafanikio ya operation PANYA ROAD mitaani tunayaona

    Hujawahi kukutana nao wewe ndio maana unabwabwaja bwabwaja hapa.Kwa kweli wauawe tu hadi waishe.
  7. N

    Wazazi wananilazimisha kuoa binti aliyetafunwa mbususu na wana kipindi cha nyuma

    unaposema mwana alimgeuza samaki una maana alimkula kabang au?lakini unaweza fumba macho pia sio mbauya kiviiiile.
  8. N

    Mume wangu, siwezi kushindana na mabinti wadogo wa mjini

    Eti na wewe umeanza maneno ya busara.khaa?
Back
Top Bottom