Nilipenda sana TX alivyokua anaimba na kuwatania wanamuziki wenzangu kwa mfano NGURUMO(MZEE WA MASAKI), MOMBA(BABA NATASHA), MAINA(MBUNGE WA MKUZI), MBWEMBWE(MASHARUBU)
Leo nataka nifahamu nani zaidi kati ya HASSANI REHANI BITCHUKA VS TX MOSHI WILLIAM(R.I.P), kwa enzi za uhai wa TX MOSHI WILLIAM maana walikua ni washindani(Competitors) hawa. Naomba U msondo na U sikinde tuuweke pembeni ila tuangalie uwezo hapa. Haya karibuni wakereketwa
Mwenye kufahamu wadau na aliefanya interview pale ero link anijuze angalau nipate mwangaza interview za pale zinakuaje, coz wameniambia kesho nitafanya interview ya written, typing na computer, kwa aliyewahi kupitia pale msaada wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.