Recent content by Natafuta kazi

  1. N

    Jinsi ya kununua vitu eBay

    nasikia wengi hawaship to Tanzania je ni kweli? hebu nisaidie mkuu mi nataka nunua simu,perfumes na sunglasses,pia nguo. namba mwongozo mamii
  2. N

    Jinsi ya kununua vitu eBay

    Paulss,nipe mwongozo mkuu nataka nunua simu,sunglasses na perfume online,mwongozo plz
  3. N

    Jinsi ya kununua vitu eBay

    mwenye idea jinsi ya kununua vitu ebay anisaidie plz
  4. N

    Ofa murua ya kazi

    m-pesa amejaa huyo.
  5. N

    Ofa murua ya kazi

    ok,asante kwa ushauri
  6. N

    Ofa murua ya kazi

    naweza sana tu.
  7. N

    Ofa murua ya kazi

    haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi. changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
  8. N

    Human nutrition jobs

    Ndugu zangu natafuta kazi nina degree ya human nutrition pia nimesoma courses za food science and home economics, kwa yoyote anayeweza kunisaidia ani pm. shukrani.
  9. N

    Interview british high commission(bhc)

    mkuu samahani nilipotea kidogo. nilifanya intavyuu, then wakanitumia email kuwa sijafanikiwa. leo wamenigia simu tu na kuuliza kwa sasa ninafanya wapi kazi basi. sasa hapa nimechanganyikiwa sielewi wanataka nn tana.. aah kichwa inauma.
  10. N

    Interview british high commission(bhc)

    Good guys,nawashukuru sana kwa mchango wenu.
  11. N

    Interview british high commission(bhc)

    ilikuwa ni formal mkuu.
  12. N

    Interview british high commission(bhc)

    walituma email mkuu. Interview ilikuwa jana saa tano.
  13. N

    Nafasi za kazi british high commissio vipi?

    mbona wameshaita watu intavyuu jumatatu.
  14. N

    Interview british high commission(bhc)

    asante mkuu, ni chancery support officer
Back
Top Bottom