Enzi zetu ualimu ulikuwa ni wa waliofeli....utasikia yaan kafeli hawezi kupata hata ualimu!!! Ila na wenyewe walim hasa wa vijijin wanavojiweka acha wadharauliwe tu hamna jinsi
Huwajui walimu wewe....wanakiherehere hao watu sijui wanajifichaga nyuma ya benki wakihisi mshahara unakaribia yaaan wanajazana benki mpaka unahisi mshahara usingetoka hiyo siku wangekufa njaaa na wanarundika a haooo.....nyie walim kuepuka fedheha ndogondogo tafuteni vitu vingine vya kuwasaidia...
Yaani ndoa jamani...naishi mbali na mme wangu akiwa mbali nammis sana akija nakumbuka anavyoninafkia kwa michepuko yake na ambavyo alijipanga kuishi na michepuko huko uhamishoni nye*** ge xote zinaisha nabaki tu kumshangaa
Cha mtu huliwa na mtu....ukila vya watu tegemea na chako kuliwa tena kitaliwa mpaka...huyo mkuu wa jesho yamkin alikuwa bize na michepuko huku mke anamendewa na huyo mkaka.....tutaliwa tu jaman maswala ya kutunza mbunye huku mme anazungusha njululu yake inahuuuuuu......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.