Kwa Wakati tulio Kuwa nao kiongozi kama JM ndio anastahiki kabisa kupatiwa Madaraka. CCM imenifurahisha sana kwa mamuzi yao yakijasiri na kuweka mbele vitu vya msingi pasipo na matamanio yao Binafsi. Mungu atuweke wazee wetu wa Nchi hii namini bila ya wao mambo yangeharibika.
Mr Benard Membe ni kiongozi Ambaye ni chaguo la utawala wa Sasa, Kiongozi hawezi kuchaguliwa na wachache kwa kulinda Maslahi Binafsi Hali hii inaweza kuleta mchafuko na kusababisha maafa makubwa sisi wanaadamu haturidhiki. Bendera apewe makufuli au Tutapigia UKAWA. Tunataka Mabadiliko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.