Ngoja nichangie hili coz lipo ndani ya uwezo wangu ndugu zangu tusidanganyike ujenzi wa wa hivi vitofali ni gharama mno kuliko ujenzi wa kawaida kwanza size ya tofari unayonunua 500 inabidi upate vitofari vi 3 kufikia size ya tofali moja la kawaida mfano nyumba ya vyumba vitatu kimoja master...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.