Recent content by Nasibu Zaburi

  1. N

    Kigoma hatuna umeme kwa saa 20 zilizopita TANESCO wanatafuta sukari

    Tanzania ya viwanda Never haiwezekani , Kwa staili hii .kama ice cream tu zimebaki uji ,itakuwa kiwanda . Eti mwenyekiti wa bunge anasema tunawaongezea Hadi mwezi wa 6 umeme uwe tayari kwakuwa ana solar 1000 kwake jaman
  2. N

    Kigoma hatuna umeme kwa saa 20 zilizopita TANESCO wanatafuta sukari

    Toka tarehe 20/02/2024 saa 9 alasiri Hadi Leo Tarehe 21 saa 5 asubui haujarudi. Masaa 20 yamekatika hamna umeme huku sio kukata huku ni kuzima. Mtaani kwako ikoje huko? TANESCO
  3. N

    Zijue vita ambazo Israel imeshinda dhidi ya mataifa mengine

    Uzuri nikuwa kipindi saratani ya Koo inaongezeka Kwa Kasi ,na ospitali za Tina yake zinaongezeka pia ,upasuaji ni pesa ndogo tu.siku hizi tunanyonya Kila penye tundu
Back
Top Bottom