Tanzania Bureau of Standards (TBS) is Tanzania's sole standards body, formerly established by the Standards Act No. 3 of 1975, which was repealed and replaced by the Standards Act No. 2 of 2009. It is a Parastatal Organization under the Ministry of Industry and Trade...
Ewe kaka au dada kama haukuwa tayari kuachana na ubachela wako ulikimbilia kuoa au kuolewa ili nini? Huoni umekimbilia tu kumuumiza mwenzako? Angalia unavyoishi maisha ya kibachela kwenye ndoa, hujulikani umekua au bado mtoto, hata maamuzi yanakushinda kufanya.
Sasa utaitwaje baba au mama...
CALL FOR ORAL INTERVIEW THE FOLLOWING CANDIDATES WHO SAT FOR WRITTEN EXAMINATION FOR THE POSTS OF INFORMATION TECHNOLOGY OFFICER, INTERNAL AUDITOR,LIBRARIAN, SENIOR RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT AND DRIVERS AT...
Kwa kawaida mwanaume huhitaji kufanya tendo la ndoa mara kwa mara kuliko mwanamke, ukiona mume wako anavisingizio tele ili tu asishiriki tendo hilo.
Mara leo nimechoka sana, mara kichwa kinauma, mara leo mgongo unavuta, mara joto limezidi basi hiyo ni alama tosha ya kukujuza kuwa aidha...
kwa wale waliomba nafasi za kazi chuo cha uhasibu (TIA) za mwez january,wameita watu kwa ajili ya usaili tarehe 26 na 27/03/2015 ,cheki jina TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY
kila la kheri
Wadau kwa wale walioomba nafasi za ajira bungeni,information officer,secretary na office assistant, wametoa majina ya usaili kuanzia tarehe 26 na 27/03/1015, tembelea www.ajira.ac.tz au fungua website ya utumishi
Kila la kheri
Shule zote za serikali zikiwemo za msingi na zile za upili nchini Uingereza zitalazimika kufunza somo la ngono na uhusiano SRE ,wabunge wa taifa hilo wamesema katika ripoti yao.
Kamati ya elimu katika bunge la Uingereza ilianzisha uchunguzi baada ya kubainika kuwa zaidi ya thuluthi moja ya...
Wadau
Kwa wale waliofanya usaili chuo kikuu cha Sayansi na Technology Mbeya kuanzia phrase ya kwanza hadi ya tano, wameanza kupiga kwa waliofaulu,kama vp usikae mbali na simu yako,
Karibuni Mbeya, usisahau sweta au koti unapokuja!
Wadau nimeona kichwa cha habari juu ya gazeti la Jambo leo la leo,nafasi za kazi kiwanda cha dangote ukurasa wa kumi na saba(17), Mwenye gazeti hilo au anayeweza kulipata atuwekee wamesema nini huo ukurasa wa kumi na saba ili nasi tupate habari
Kila la kheri
Tume ya mahakama imetoa nafasi za kazi kwa kada mbalimbali.Afisa tawala (80 post),Afisa utumishi (80 post),Mkaguzi wa hesabu za ndani 25 post na mchambuzi wa mifumo ya compyuta 15 post.
Tafuta gazeti la hababari leo la leo.
Kila la heri mapambano yanaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.