Wa kwangu hata simchapi ila toka akiwa mdogo ni marufuku kuchezea simu yangu. Mpaka sasa anajua mipaka yake. Akila chakula atoe vyombo mezani na kama hakuna vyombo vingine aoshe sahani yake. Kufua boxer na socks zake ,kazi yangu ni kumalizia kuzifua ili zitakate vizuri.
Marufuku kufungua mlango...
Ndio tatizo la watu wengi. Mimi wa kwangu kazi yake kupanda gari tena nikiwepo , ni marufuku sijui kwenda kuwasha gari. Akifikia umri unaostahili nitampeleka shule ajifunze udereva. Kuna kaka yangu mmoja mjukuu wake aliwasha gari na kukanyaga mafuta akabomoa ukuta. Kaka yangu alishikwa na...
Hivi nani kawaambia kuna majina sijui ya kikristo na kiislam? Kila nchi ina asili ya majina yao, sisi wabongo ndio hatuwapi majina ya kwetu sababu ya kuwa kautumwa fulani. Mtu akitaka kumpa mtoto jina ampe tu ila hayana uhusiano na dini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.