Vigezo vya kitoto sana !, hv umesahau afya ya rais wa kenya ilivyokuwa , na kwa enzi yake rais F. Roosevelt wa USA je unajua alikuwa ktk hali gani kiafya kipindi anagombea ! ?, hujasoma hata historia au tatizo ni nini !?, jaribu kuwa mfuatiliaji kabla ya kuandika ukurasa mrefu wa maelezo ...