Recent content by narikuu

  1. N

    Miss Natafutwa nimeshapata Kazi, Asanteni wote mlionipambania ❤️❤️❤️

    Haya Wana jf mshamalizana na hyu dada njooni kwangu sasa
  2. N

    Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

    Hii story inanikumbisha mbali sana kipindi nipo mdogo kama nikiwa wa miaka 12 hivi niliwahi msikia mama yangu mzazi mara kwa mara anaongea na simu na mwanaume mwingine mambo ya mapenzi Hadi wanakissi ni dhahiri kabisa alikua anamchiti baba yangu .lakini sikuwahi muonyesha kama najua hyo issue...
  3. N

    Dunia Haina huruma

    Asanteni sana kwa pole zenyu
  4. N

    Dunia Haina huruma

    Sikupata msaada wowote ila ,nilirudi kijijini msimu huu wa kilimo kufanya vibarua
  5. N

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider please 🥺 naomba kati ya watu utakaowapa bonus n Mimi unikumbuke kwasababu Dunia hairawah kuwa Fair kwangu
  6. N

    Dunia Haina huruma

    Nmemaanisha mm n wakike sio wa kiume kama alrivyohisi
  7. N

    Dunia Haina huruma

    Mm ni shangazi mkuu
  8. N

    Dunia Haina huruma

    Yan Bora hata ningekua nimetumia Mimi ,hyo ela niliibiwa katika kuhangaika nikapoteza zaidi
  9. N

    Dunia Haina huruma

    Naombeni mnisaidie kitag wanaoweza nisaidia
  10. N

    Dunia Haina huruma

    Nipo dar mkuu 1.5m😓
  11. N

    Dunia Haina huruma

    Naomba nikufate pm
  12. N

    Dunia Haina huruma

    Ataeguswa nipo tayari kuonana nae km atakua n masha Ndo mana tunashare matatizo wanaoguswa watusaidie
  13. N

    Dunia Haina huruma

    Ataeguswa nipo tayari kuonana nae km atakua n mashaka
  14. N

    Dunia Haina huruma

    Napambana sana mkuu ila naona Sina bahati
  15. N

    Dunia Haina huruma

    Naomba mnisaidie niweze tu kulipa deni
Back
Top Bottom