Recent content by NAREI

  1. NAREI

    Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

    Ni shamba tu mkuu Kuna mihogo tu hapo kwenye kiwanja
  2. NAREI

    Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

    Kipo chanika HOMBOZA Robo heka (35 kwa 20) Kinataka laki 9 tu.
  3. NAREI

    Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

    Ukifika 3.5m Njoo Kitunda, Magole
  4. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Mkuu posta hakuna kiwanja. Huku wanakodisha godowns kwa sqm kwa mwezi si chini ya 2m+ Tuendelee kutafuta pesa tu.
  5. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Hello JamiiForums members Plot is on sale It has 400 square meter (Meter 20×20) Plot is located at Jet lumo (kwa gude) 500m from Nyerere road The plot is Suitable for small industry buildings, yard, godowns, hotel buildings, apartments or other investments Offer: 100m Mobile: 0785 857564
  6. NAREI

    Natafuta kiwanja kuanzia pugu kuelekea town

    Karibu kitunda mkuu! Ardhi ni tambarare Maji nj uhakika Barabara ziko vizuri
  7. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Very true mkuu! Umeandika nondo sana. Ila sasa wote tukiishi/tukiwekeza huko (Chalinze, Kibaha, Bagamoyo) tutatosha kweli?
  8. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Unawaambia unakaa na mdogo wako ili wasiwe wanaacha vifuniko vyao vya asali.
  9. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Uwahi chief! Hata huku warembo wapoo
  10. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Kabla ya yote ni lazima ujiridhishe kwanza Ndipo ufanye maamuzi Nyumba ni ya mtu binafsi sio ya familia
  11. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Habari Wana jukwaa ✓Nyumba ina chumba kimoja self contained Seating room, open kitchen na public toilet Full tiles, gypsums na feni (seating room na chumbani. ✓ maji na umeme unajitegemea Mahali ilipo: nyumba ipo KITUNDA Kutoka banana unapanda gari moja tu. ✓ kutoka stand Hadi kwenye nyumba ni...
  12. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Karibu mkuu Meter 20*18
  13. NAREI

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Habari Wana jukwaa Nyumba inauzwa, ✓ Ipo KITUNDA , mwanagati (wilaya ya ilala) ✓ Ina vyumba vitatu (kimoja ni self) ✓ Seating room, jiko na public toilet ✓ Floor ni ya kawaida ✓ Gypsum board ✓ Parking ya gari moja ✓ Maji, umeme ✓ Ipo kwenye barabara ya mtaa N.b Kutoka Banana Hadi kwenye nyumba...
  14. NAREI

    Car4Sale Mitsubishi Canter inauzwa

    Punguza bei mzee Hiyo number B ni 16-18m Number D Kali kabisa ni 24-28
Back
Top Bottom