Habari zenu wakuu,
Naombeni mawazo yenu,
Dada yangu kanifuata leo ofisini akinieleza matatizo yake kama kaka yake ukweli nimemwambia asubiri mpaka kesho nitampa jibu.
Dada yangu ameolewa na mtu mwenye cheo kikubwa tu serikalini cha ajabu wana miaka zaidi ya kumi hawana hata kibanda wamepanga...
Wana jukwaa nawasalimu,
Kuna jambo nakabiliana nalo naombeni ushauri wenu nina mchumba wangu ila tumejaliwa mtoto mmoja hatujafunga ndoa bado.
Mwenzangu alipata nafasi ya kweda China masomoni kwa muda mfupi alivyorudi akaniletea simu IPhone, sasa tatizo lililonileta hapa toka aniletee hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.