Recent content by nanza

  1. N

    Makinikia; Kama Tumeshindwa, Lissu Aombwe Radhi kwa Kutosikiwa na Kuchafuliwa

    Tutajuaje kama nao mmewaambia iwe Siri kama bombardier Q400?? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    ACACIA kutoa notisi ya kuishitaki Tanzania na hatma ya majadiliano

    Mtaje mwingine kutoka Lumumba aliyebora Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    Prof. Kabudi ni mtu sahihi, amebobea katika ushauri, majadiliano na utetezi wa rasilimali za Taifa

    Muulize Prof Kabudi kuhusu bar exam alifanya Mara ngapi?? Na aliupataje uwakili?? Kufeli sio kushindwa kumbukeni unaweza kufeli kuwa mhasibu lkn ukapasua na kuwa Wakili. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. N

    Prof. Kabudi ni mtu sahihi, amebobea katika ushauri, majadiliano na utetezi wa rasilimali za Taifa

    Muwe mnaelewa mambo vizuri kabla ya kuzungumza na kumsifu MTU Prof Kabudi no academician advisor na huo uzoefu ulioueleza hakuna mahali nimeona commercial issues zaid ya political na kutengeneza Sera jambo ambalo hata mqenye degree moja kama mm naweza kulifanya. Issue yetu inahitaji commercial...
  5. N

    Uchambuzi wa The Citizen kuhusu majadiliano ya Acacia

    Nakubaliana kabisa na the citizen na makala yao has a mchabuzi Advocate Mgaya. Skills ndizo zinazohitajika tatizo Mkulu anafikiri mtu akiwa professor, au Dr basi anajua sana, sina elimu kubwa lakini sijawahi kuona ujuzi wa kitaaluma wa Professor Kabudi zaidi ya kujua kuwa in mwalimu kwa miaka...
  6. N

    Acacia haina hatia Tanzania: Serikali ya JPM itaithibitishia Mahakama ya Usuluhishi London

    Tuache kujitoa akili barick hawakuja na bunduki tuliwafuata wenuewe na Yukawa ten gene sea sheria zilizopitishwa na binge kwa makelele mengi, Leo tunawaita majina yote mabaya. Ccm ndo adui yetu mkubwa wamwtuingiza hapa na Leo eti wanataka kututoa na as watz tulivyo na akili ndogo tunashangilia...
  7. N

    Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

    Kwani ww ndo unawalipa?? acha kimbele mbele Tulia ujazwe Sent using Jamii Forums mobile app
  8. N

    Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

    Tulia Afande anyolewe, na bado tutafika mia Sent using Jamii Forums mobile app
  9. N

    Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

    Mbona wengine tupo tunasubiri kuingizwa kwenye list??? Hata mia tutafika na tutafanya probono yani hatutaki kulipwa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. N

    Kwakuwa Rais Magufuli kaingia vitani dhidi ya mabepari,ni jukumu letu kupambana na vibaraka wao

    Akili zako yazikutoshi, mabepari waliotufikisha hapa kwa kusaini mikataba mibovu mnawasujudia, mnawalinda, mnawawekea red carpet na kuwasifu kuwa ni mashujaa wenu. Watanzania tunaelewa tatizo kubwa ccm, km kuna bepari wa kupambana nae in ccm, tukiitoa tutakuwa salama. Sent using Jamii Forums...
  11. N

    Ukimya wa Lissu kuhusu mapendekezo ya sheria za maliasili unamaanisha nini?

    Tunataka kujua makinikia imeishia WAP Tunataka kujua tunajitoaje kwenye mikataba mibovu Tunataka kujua hatma ya mikataba hiyi Tunataka kujua waliotuingiza hapo inakuwaje Ishu za sheria za dharura wakati dhahabu imeisha na sheria hiyo haitusaidii kwenye hasara ccm waliuotuingiza yanini kuijadili
  12. N

    Imekuwaje Gorofa 1 ya TRA Chato ijengwe kwa bil 1.4 wakati Gorofa 4 UDSM zilijengwa kwa Mil 500?

    Siku zote mtu anapofanya jambo bila kufuata sheria za manunuzi ambazo zipo na anaposimamia jambo hilo kwa ubabe na si sheria basi tambueni kuna upigaji. Tujikumbushe bombardier zimenunuliwa bila kufuata aheria, ujenzi unafanyika bila kufuata aheria wala tender hazitangazwi, Pesa za serikali...
  13. N

    Ester Bulaya: Tunakwenda Mahakamani

    Unaongea km aliyeshikiwa akili, hivi ndugai amekuwa Mungu???? As if umenyweshwa maji ya bendera???
  14. N

    Polepole: Walitaka kumhonga Rais Magufuli Sh. Bilioni 300 ili asifanyie kazi taarifa ya mchanga

    Upupu huu wapelekeeni wakolomije ambao hawajitambui na wanaccm wenzenu mnaokunywa nao maji ya bendera.
  15. N

    Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

    Ccm inajitekenya na kucheka yenyewe, inajamba na kunusa ushuzi wake. Wabunge wa ccm walipitisha sheria hizi mbovu za uuaji kwa vifijo na vigelele na wakamwaga zege kwenye kaburi hilo la mikataba mibovu kuwa iwe Siri. Leo mnafukua makaburi na kutuonyesha mifupa alafu mmetandika mikeka mnalia...
Back
Top Bottom