CCM hawana jipya, wako hoi. wameishiwa mbinu zote. wote ni mafisadi, kuanzia rais mpaka balozi wa nyumba kumi. ccm iliwatenga vijana ili waitafune nchi peke yao, hatuwezi kuwasamehe hiyo dhambi, vijana wanapaswa kufany mapinduzi, wajitwalie nchi yao. tusikubali tena hadaa za ccm.