Recent content by Nanyaro Ephata

  1. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania Kujivua Uanachama kwa Katibu wa Kanda na Mkoa wa Tanga: CCM na Serikali Yake Wanaogopa Mabadiliko!

    Mkuu ccm haip mkuu ccm haipo kabisa! Mimi siwezi kuwa mwanaccm
  2. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania Kujivua Uanachama kwa Katibu wa Kanda na Mkoa wa Tanga: CCM na Serikali Yake Wanaogopa Mabadiliko!

    Kama Mwanachadema wa Kanda ya Kaskazini wa Chadema, naijua kanda hii vizuri – tumejenga imani ya wananchi kwa miaka mingi, tumevumilia mateso, na tumeendelea kuwa nguvu ya mabadiliko Nawakumbusha ndugu zangu wa Chadema: hawa si wa kwanza, wala hawatakuwa wa mwisho. Na hii si habari mbaya tu –...
  3. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA haiwezi kufa kama TLP au NCCR

    CHADEMA leo sio rahisi kufa kama TLP au NCCR by Nanyaro EJ Ni mwanga wa matumaini na tumaini la mabadiliko ya kweli kwa Tanzania. Tukilinda mshikamano wetu, hakuna nguvu inayoweza kutuangusha. Msemo "A house divided against itself cannot stand" unahusiana moja kwa moja na dhana ya...
  4. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania CRDB Bank funga kazi! Unaweza kutuma pesa bure, kwa yeyote, kokote ukiwa popote Duniani. Big Up Sana CRDB Bank, diaspora tuchangamkie hii fursa!

    Bwana Mayala na wewe kabisa na ujanja wako unatulisha matango pori? Hakuna huduma ya bure bank,huduma zote lazima ulipie! Hata kuuliza salio unalipa
  5. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    Kitabu:From third world to First Mwandishi:Lee Kuan Yew Mchambuzi.Nanyaro EJ Chapter 5. Creating a Financial Center Mwandish anaanza chapter hii kwa kueleza kuwa kipindi kufikiria Singapore kuwa kituo cha fedha cha Kimataifa ilionekana ni wendawazimu wa hali ya juu,ila anasema kiongozi bora ni...
  6. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    Jina la Kitabu:From third world to First Mwandishi.Lee Kuan Yew Mchambuzi: Nanyaro EJ Chapter 4. Surviving Without a Hinterland Katika dondoo hii, Lee Kuan Yew anaelezea mbinu na mikakati mbalimbali aliyotumia kuboresha uchumi wa Singapore na kupambana na changamoto za ukosefu wa ajira na...
  7. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    Jina la Kitabu;From third world to first world Mwandishi;Lee Kuan Yew Mchambuzi:Nanyaro EJ Chapter 3 Britain Pulls Out (Britania Yajiondoa) Kitabu hiki kinaelezea muktadha wa kihistoria na kisiasa wa Malaysia na Singapore, hasa katika kipindi cha mabadiliko makubwa ya kisiasa na kijeshi...
  8. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    Jina la Kitabu: From Third World to First World Mwandishi: Lee Kuan Yew Mchambuzi: Nanyaro EJ Chapter 2: Building the Army from Scratch Hii ni simulizi kuhusu hali ngumu ya kisiasa na kijeshi ambayo ilijitokeza baada ya kujitenga kwa Singapore kutoka kwa Malaysia mnamo Desemba 1965. Katika...
  9. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    CC@moderators saidia kuinganisha
  10. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    Mkuu China kuna mabepari kuliko hata USA
  11. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    Kitabu:From Third World to First world Mwandishi:Lee Kwan Yew Mchambuzi:Nanyaro EJ Sehemu ya Kwanza “Going It Alone” Kitabu hiki kinaelezea safari ya kihistoria ya Singapore kutoka kuwa koloni la Uingereza hadi kuwa taifa huru. Lee Kuan Yew, aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa Singapore...
  12. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000

    Jina la kitabu: From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000 Mwandishi:Lee Kuan Yew Mchambuzi: Nanyaro EJ Utangulizi Nimeandika kitabu hiki kwa ajili ya kizazi kipya cha Wasingapore ambao walichukulia utulivu, ukuaji, na ustawi kuwa mambo ya kawaida. Nilitaka wajue jinsi...
  13. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa ni mlaji wa matapishi yake

    Wewe ni kiazi! Una utapiamlo ambao umeadhiri uwezo wako wa kufikiri
  14. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa ni mlaji wa matapishi yake

    Ni kweli wajinga wote waondoke
Back
Top Bottom