CHADEMA leo sio rahisi kufa kama TLP au NCCR
by Nanyaro EJ
Ni mwanga wa matumaini na tumaini la mabadiliko ya kweli kwa Tanzania. Tukilinda mshikamano wetu, hakuna nguvu inayoweza kutuangusha.
Msemo "A house divided against itself cannot stand" unahusiana moja kwa moja na dhana ya...
Kitabu:From third world to First
Mwandishi:Lee Kuan Yew
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Chapter 5. Creating a Financial Center
Mwandish anaanza chapter hii kwa kueleza kuwa kipindi kufikiria
Singapore kuwa kituo cha fedha cha Kimataifa ilionekana ni wendawazimu
wa hali ya juu,ila anasema kiongozi bora ni...
Jina la Kitabu:From third world to First
Mwandishi.Lee Kuan Yew
Mchambuzi: Nanyaro EJ
Chapter 4. Surviving Without a Hinterland
Katika dondoo hii, Lee Kuan Yew anaelezea mbinu na mikakati mbalimbali
aliyotumia kuboresha uchumi wa Singapore na kupambana na changamoto za
ukosefu wa ajira na...
Jina la Kitabu;From third world to first world
Mwandishi;Lee Kuan Yew
Mchambuzi:Nanyaro EJ
Chapter 3 Britain Pulls Out (Britania Yajiondoa)
Kitabu hiki kinaelezea muktadha wa kihistoria na kisiasa wa Malaysia na Singapore, hasa katika kipindi cha mabadiliko makubwa ya kisiasa na kijeshi...
Jina la Kitabu: From Third World to First World
Mwandishi: Lee Kuan Yew
Mchambuzi: Nanyaro EJ
Chapter 2: Building the Army from Scratch
Hii ni simulizi kuhusu hali ngumu ya kisiasa na kijeshi ambayo ilijitokeza baada ya kujitenga kwa Singapore kutoka kwa Malaysia mnamo Desemba 1965. Katika...
Kitabu:From Third World to First world
Mwandishi:Lee Kwan Yew
Mchambuzi:Nanyaro EJ
Sehemu ya Kwanza
“Going It Alone”
Kitabu hiki kinaelezea safari ya kihistoria ya Singapore kutoka kuwa koloni la Uingereza hadi kuwa taifa huru. Lee Kuan Yew, aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa Singapore...
Jina la kitabu: From Third World to First World The Singapore Story 1965-2000
Mwandishi:Lee Kuan Yew
Mchambuzi: Nanyaro EJ
Utangulizi
Nimeandika kitabu hiki kwa ajili ya kizazi kipya cha Wasingapore ambao walichukulia utulivu, ukuaji, na ustawi kuwa mambo ya kawaida. Nilitaka wajue jinsi...
Peter Msigwa Mlaji wa matapishi yake
Uamuzi wa Peter Msigwa kuhama kutoka Chadema kwenda CCM unaacha alama mbaya katika siasa za Tanzania. Ni tukio linalofungua mjadala kuhusu uaminifu, uadilifu, na misingi ya uongozi. Msigwa, aliyewahi kuwa kiongozi mashuhuri ndani ya Chadema, sasa anaonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.