Veep kuhusu Viongozi WEZI wa AMALI za umma,wanaotajwa kila mwaka kutafuna na kuona pesa za Serikali WAFANYWE NINI??
Walioua October 29 WAFANYWE NINI??🤔🤔
VIJANA KUKOSA ADABU kadiri yako ni tatizo katika nchi KULIKO WIZI?? KULIKO UFISADI?? KULIKO KUUA WATU?? KULIKO KUTEKA WATU??
Kuna wakati...
Mayala
Paskal, nabii yoyote alipotoa unabii ukatimia ndio hapo unabii wake wa kwanza ulipotimia na unaweza kuwa rejea reference kwa unabii wa pili!!
Kifupi swali lako limekosa logic!!
Ulipaswa uulize huu ni unabii wake wa ngapi? au ni WA kwanza??
Kimsingi
Rostam ndiye anayeongoza nchi kaitia serikali mfukoni, NI FISADI PESA NA UTAJIRI anatumia kuendesha nchi!!
Tutafika,we shall overcome!! Rostam na wewe Mke wake msijisahau sana!!! 🤔🤔
Muhaya alipokuwa kwenye mataa ya KAMATA na Muhaya mwenzake walimuona askari traffic MUHAYA, anaongoza magari manually kwa sababu ya foleni.Mambo yakawa kama yafuatavyo 🤣🤣🤣
"Iwe mwana ashomile, ashomile mpaka form six, ashomile mpaka university but no course 😅😅😅 agamba genda agamba stop "🤣🤣🤣🤣...
Mkuu huyo aliyejibu ovyo mi Fisadi, au task force Member, au beneficiary wa mfumo uliovurugwa ndani ya system!!!
Kwahiyo kaumia na uchambuzi wa senior MALCON
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.