Recent content by Nandagala One

  1. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Waliomsaliti Humphrey Polepole waanza kuonja joto ya jiwe

    Rekebisha heading, zaid ya hapo ulichoandika ni TAKATAKA,USHABWADA, hakiendani na Content MAUDHUI 🤣🤣🤣🤣
  2. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania CHADEMA waikosoa vikali kauli ya Rais Samia ya "kukamatwa na kuwachapa mikwaju wanaharakati"

    A liyekosa adabu ni yule MWIZI, WEZI WA RIPOTI YA CAG ,WATEKAJI, WAUAJI WA 29 OCTOBER 🤔🤔🤔
  3. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Vijana wasio na adabu wachapwe bakora kwa Mujibu wa Sheria na sio utashi binafsi wa viongozi

    Veep kuhusu Viongozi WEZI wa AMALI za umma,wanaotajwa kila mwaka kutafuna na kuona pesa za Serikali WAFANYWE NINI?? Walioua October 29 WAFANYWE NINI??🤔🤔 VIJANA KUKOSA ADABU kadiri yako ni tatizo katika nchi KULIKO WIZI?? KULIKO UFISADI?? KULIKO KUUA WATU?? KULIKO KUTEKA WATU?? Kuna wakati...
  4. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Mayala Paskal, nabii yoyote alipotoa unabii ukatimia ndio hapo unabii wake wa kwanza ulipotimia na unaweza kuwa rejea reference kwa unabii wa pili!! Kifupi swali lako limekosa logic!! Ulipaswa uulize huu ni unabii wake wa ngapi? au ni WA kwanza?? Kimsingi
  5. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Max pole sana na uongozi mzima kwa hii changamoto, ambayo watu wanataka mambo yao yabaki gizani!!
  6. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Poleni sana Jamii Forum uongozi, tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu
  7. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Rostam ndiye anayeongoza nchi kaitia serikali mfukoni, NI FISADI PESA NA UTAJIRI anatumia kuendesha nchi!! Tutafika,we shall overcome!! Rostam na wewe Mke wake msijisahau sana!!! 🤔🤔
  8. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Aanguka akiliwahi lori la kampeni za CCM Mbeya

    Hii mijitu mijinga sana, Abdul anatembea na gari ya bilion 2 unusu, wao wanapandishwa kwenye malori kama mifugo!!!😅😅😅
  9. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Nadhani issue itakuwa andiko la MALCOM ambaye katoa andiko zuri sana kuhusu task Force na KITENGO, ni kama kaivua nguo Taasisi, 🤔🤔
  10. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Makumbusho Mkuu!!
  11. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    Imbombo nilipo, imbombo ngafu
  12. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Mayala umenifurahisha sana, hebu tukutane break point weekend tugonge maji ya dhahabu!!!
  13. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Hivi mstaafu Kikwete huwa haambiwi na kupewa taarifa kuwa watu wanamsema vibaya na kumchukia?

    " Sioni sababu ya kufanya hivyo, sioni Tija yoyote, ... Busara inatuelekeza tusiukuze mgogoro usiokuwepo.."🤣🤣😅😅
  14. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Muhaya alipokuwa kwenye mataa ya KAMATA na Muhaya mwenzake walimuona askari traffic MUHAYA, anaongoza magari manually kwa sababu ya foleni.Mambo yakawa kama yafuatavyo 🤣🤣🤣 "Iwe mwana ashomile, ashomile mpaka form six, ashomile mpaka university but no course 😅😅😅 agamba genda agamba stop "🤣🤣🤣🤣...
  15. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Tusipochukua maamuzi magumu Taifa letu la Tanganyika litapotea kabisa

    Mkuu huyo aliyejibu ovyo mi Fisadi, au task force Member, au beneficiary wa mfumo uliovurugwa ndani ya system!!! Kwahiyo kaumia na uchambuzi wa senior MALCON
Back
Top Bottom