Recent content by Nandagala One

  1. Nandagala One

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Max pole sana na uongozi mzima kwa hii changamoto, ambayo watu wanataka mambo yao yabaki gizani!!
  2. Nandagala One

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Poleni sana Jamii Forum uongozi, tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu
  3. Nandagala One

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Rostam ndiye anayeongoza nchi kaitia serikali mfukoni, NI FISADI PESA NA UTAJIRI anatumia kuendesha nchi!! Tutafika,we shall overcome!! Rostam na wewe Mke wake msijisahau sana!!! 🤔🤔
  4. Nandagala One

    Aanguka akiliwahi lori la kampeni za CCM Mbeya

    Hii mijitu mijinga sana, Abdul anatembea na gari ya bilion 2 unusu, wao wanapandishwa kwenye malori kama mifugo!!!😅😅😅
  5. Nandagala One

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Nadhani issue itakuwa andiko la MALCOM ambaye katoa andiko zuri sana kuhusu task Force na KITENGO, ni kama kaivua nguo Taasisi, 🤔🤔
  6. Nandagala One

    Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Makumbusho Mkuu!!
  7. Nandagala One

    Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Mayala umenifurahisha sana, hebu tukutane break point weekend tugonge maji ya dhahabu!!!
  8. Nandagala One

    Hivi mstaafu Kikwete huwa haambiwi na kupewa taarifa kuwa watu wanamsema vibaya na kumchukia?

    " Sioni sababu ya kufanya hivyo, sioni Tija yoyote, ... Busara inatuelekeza tusiukuze mgogoro usiokuwepo.."🤣🤣😅😅
  9. Nandagala One

    Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Muhaya alipokuwa kwenye mataa ya KAMATA na Muhaya mwenzake walimuona askari traffic MUHAYA, anaongoza magari manually kwa sababu ya foleni.Mambo yakawa kama yafuatavyo 🤣🤣🤣 "Iwe mwana ashomile, ashomile mpaka form six, ashomile mpaka university but no course 😅😅😅 agamba genda agamba stop "🤣🤣🤣🤣...
  10. Nandagala One

    Tusipochukua maamuzi magumu Taifa letu la Tanganyika litapotea kabisa

    Mkuu huyo aliyejibu ovyo mi Fisadi, au task force Member, au beneficiary wa mfumo uliovurugwa ndani ya system!!! Kwahiyo kaumia na uchambuzi wa senior MALCON
  11. Nandagala One

    Kosa kubwa la Polepole ni kuongelea CCM kuliko taifa

    Wewe kweli ni BOGA, Kuna mstari mwembamba saaaana, unaotofautisha CCM na Serikali!!🤔🤔
  12. Nandagala One

    GE2025 Kunje Ngombale: Nikiwa rais nitafuga mamba kwa ajili ya mafisadi

    Kunyonga mtu kwa kitanzi ni kinyume Cha haki za Binadamu pia??
  13. Nandagala One

    GE2025 Amani Golugwa: Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi alisaidie taifa pawepo na uchunguzi ili taifa lijiridhishe tuhuma mfumo wa uchaguzi uliongiliwa

    Nani analioingiza?? Anayetoa angalisho, au yule ambaye amechukua helicopters za jeshi kufanyia kampeni
  14. Nandagala One

    David Kafulila: Shirika la ndege ATCL chini ya Rais Samia halijawahi kuleta hasara za kiuchumi ila za kihasibu tu

    Shukr Shukrani sana mkuu, kafulila ana ID Kibao sana, na ana CHAWA wake kibao anawatumia,. Werema /Muhongo walikuwa sahihi sana kumwita TUMBILI huyu mleta Uzi 🤔🤔🤔🤣🤣🤣
Back
Top Bottom