Recent content by Nandagala One

  1. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Tanzania haitayumbishwa kwa sababu ya mabeberu kutunyima misaada, labda watafute vikwazo vingine

    WAAMBIE watu Kwanini mmenyimwa misaada na hao mnaowaita MABEBERU?? Kwanini mnapopewa pesa hamsemi MABEBERU wametuchangia kiasi hiki?? Wanapowanyima mnabadili jina eti MABEBERU!😄😄😄
  2. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Tanzania haitayumbishwa kwa sababu ya mabeberu kutunyima misaada, labda watafute vikwazo vingine

    WAAMBIE watu Kwanini mmenyomwa misaada na hao mnaowaita MABEBERU?? Kwanini mnapopewa pesa hamsemi MABEBERU wametuchangia kiasi hiki?? Wanapowanyima mnabadili jina eti MABEBERU!
  3. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Odero amekuja na kamati yake ya maridhiano, je mnakubaliana nayo?

    Mwanafursa na mnufaika wa pesa za Abdu, yeye kwake yupo radhi "MARINDA" yapotee kwa ajili ya pesa, NAOMBA NIELEWEKE ni MARINDA YA SURUALI JAMANI🤣🤣🤣🤣
  4. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Tone kwa Tone imeishia wapi? Au pesa zimeshatosha na wamezitafuna tayari?

    We ni mjinga hujui logic, nazingumza ukishakula chakula kinabadilika form kuwa MAVI, then ni lazima uende KUNYA, mahali pa kunyea ni chooni, vyoo msaada Katia mzungu,hapo mzungu amekusadia KUNYA,Yaani mahali pa kunyea, unless huko kwenu kama mnanyea PORINI,vichakani
  5. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanataka haki bila wajibu, watoe darasa kwa umma.

    Hao ni CCM 😄😄 wanapotaka MARIDHIANO kabla ya kuwajibika, kukiri MAUAJI ya 29 0ctober na WIZI WA kura!! Rekebisha heading, weka CCM wanataka haki bila kutimiza wajibu "
  6. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Tone kwa Tone imeishia wapi? Au pesa zimeshatosha na wamezitafuna tayari?

    H ivi huoni aibu Tanzania kupewa mpaka MISAADA YA KUNYA?? kula tule sisi,KUNYA tunye sissi ,halafu pakunyea Vyoo tupate msaada na WAZUNGU??🤣🤣🤣 Hizo pesa zinashindwa kujenga vyoo mashuleni?? Yaani Mpaka KUNYA mnasaidiwa na WAZUNGU??🤣🤣🤣 Hii nchi tatizo ni Viongozi, lack of vision/focus 🤔🤔🤔
  7. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Ni kwasababu WACHANGIAJI wengi ni WEZI, MAFISADI, WAAUZA MADAWA YA KULEVYA,WAKWEPA KODI, NA AMBAO MIKONO YAO IMECHAFUKA DAMU YA OCTOBER 29! CHADEMA inapata mchango Toka an innocent peole wenye uwezo wa kiuchumi wa kawaida!! Kwenu WEZI MAFISADI na wengine wote wanochangia Huwa wanajikomba kwa...
  8. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Ni kwasababu WACHANGIAJI wengi ni WEZI, MAFISADI, WAAUZA MADAWA YA KULEVYA,WAKWEPA KODI, NA AMBAO MIKONO YAO IMECHAFUKA DAMU YA OCTOBER 29! CHADEMA inapata mchango Toka an innocent peole wenye uwezo wa kiuchumi wa kawaida!! Kwenu WEZI MAFISADI na wengine wote wanochangia Huwa wanajikomba kwa...
  9. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Katambi: Serikali imetenga Milioni 100 kuwalipa watoa taarifa za uhalifu nchini

    Nyie WAHUNI sana mbona ndogo sana!!! Yaani per diem yenu principal officer per day 390,000 ,halafu watoa taarifa milioni 100
  10. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Ogopa kufanya jambo ambalo Nyerere hakufanya

    Kijana umegeuka kuwa CHAWA!! sikulaumu ni njaa inakusumbua. Zamani ulikuwa unaandika vitu vya maana Logical, sasa ni pumba tupu. Inaonekana hujui historia, kazi ya historia, umuhimu wa historia ya watu waliokufa na kuacha ALAMA njema kwazo watu wajifunze.Eti mtu akifa amekufa. Samahani kama...
  11. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Waliomsaliti Humphrey Polepole waanza kuonja joto ya jiwe

    Rekebisha heading, zaid ya hapo ulichoandika ni TAKATAKA,USHABWADA, hakiendani na Content MAUDHUI 🤣🤣🤣🤣
  12. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania CHADEMA waikosoa vikali kauli ya Rais Samia ya "kukamatwa na kuwachapa mikwaju wanaharakati"

    A liyekosa adabu ni yule MWIZI, WEZI WA RIPOTI YA CAG ,WATEKAJI, WAUAJI WA 29 OCTOBER 🤔🤔🤔
  13. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Vijana wasio na adabu wachapwe bakora kwa Mujibu wa Sheria na sio utashi binafsi wa viongozi

    Veep kuhusu Viongozi WEZI wa AMALI za umma,wanaotajwa kila mwaka kutafuna na kuona pesa za Serikali WAFANYWE NINI?? Walioua October 29 WAFANYWE NINI??🤔🤔 VIJANA KUKOSA ADABU kadiri yako ni tatizo katika nchi KULIKO WIZI?? KULIKO UFISADI?? KULIKO KUUA WATU?? KULIKO KUTEKA WATU?? Kuna wakati...
  14. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Mayala Paskal, nabii yoyote alipotoa unabii ukatimia ndio hapo unabii wake wa kwanza ulipotimia na unaweza kuwa rejea reference kwa unabii wa pili!! Kifupi swali lako limekosa logic!! Ulipaswa uulize huu ni unabii wake wa ngapi? au ni WA kwanza?? Kimsingi
  15. Nandagala One

    JamiiForums Tanzania Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Max pole sana na uongozi mzima kwa hii changamoto, ambayo watu wanataka mambo yao yabaki gizani!!
Back
Top Bottom