Ogopa kufanya jambo ambalo Nyerere hakufanya

Ogopa kufanya jambo ambalo Nyerere hakufanya

Kwa hiyo leo unapata ushahidi kuwa sababu ya muungano ilikuwa ni uislamu wa Zanzibar!
Nyerere angewezaje kuuondoa uislam Zanzibar?

Mtu unayeamini hivi kuna njia yoyote kweli ya kukuondoa katika fikra za aina hii, kama siyo kupoteza muda tu!
Sikupata ushahidi Huo Leo , ni tokea alipomkamata Sheikh bin Ameir na kumweka jela pia kwa kuivunja jumuiya ya Waislamu na kuunda jumuiya yake ya Bakwata . Ni mengi ukisoma hiyo link
 
Kagame is involved in killing spree of his own people up to this century!
Kagame is operative who cares not for his feelow Africans ndo ulimnganishe na mtu aliyejitoa kwa ajili ya uhuru wa wengine. Aisee hizi ni dharau kwa mwalimu.
Chunguza vizuri
 
Hilo halikuwa Katu ajenda ya Nyerere , ajenda ya Nyerere Kama unatafuta ukweli soma hapa:-..

Mnajifanyaga mnaujua Uislam kuliko hata Waarabu wenyewe.
 
Sasa niambie mkuu 'Matrix', kwa heshima kubwa niliyonayo; kweli huu ndio Muungano aliotegemea Nyerere wakati kunakuwepo na Muungano? Tuseme tu ukweli, leo hii akirudi atasema muungano umefana sana kama lilivyokuwa lengo la mwanzo?
Ndio maana nikasema , kwa wakati huo "pengine" yeye aliona muundo na muungano huo una faida kwa wakati huo .

Mwaka 2014 Lissu alihoji bungeni hati ya muungano iletwe ,tukajionea kituko wakagoma kuileta badala yake kikasambazwa kipeperushi mtandaoni kuwa ndio hati ya muungano ila bado wakachemka kwenye saini ya Karume baada ya Lissu kuleta sheria za nyuma zenye saini halisi ya Karume kabla ya hiyo inayoitwa hati ya muungano ya 1964.
Tumulaumu Nyerere kwa matokeo haya?
Hatuwezi kumlaumu , ukinisoma vizuri ndio maana nimesema kwa alichokifanya aliona pengine kina manufaa wakati huo, ila kwetu sisi tuliopo sasa muungano huu hauna tija yoyote na sababu nimeweka hapo kwenye post ya juu kwa uchache tu japo zipo nyingi.

Nikatoa na mfano wa picha ya simu za 1960, 1970,1980 hatuwezi kumlaumu aliyetengeneza simu zile kwamba kwanini hakutuwekea teknolojia kama ya leo kuweza kufanya video calling.

Hatuwezi kumlaumu sababu alitwngeneza simu kuwezesha mawasiliano kwa muda huo na nyakati hizo ila kwa wakati huu aina hii ya simu aliyotengeneza haifai ndio maana tumehamia katika teknolojia mpya ya simu za kisasa.

Hivyo pia kwa Nyererw tusiwe rigid kusema kwakua aliunda muungano basi tutakapoona hauna tija tusiuvunje , maana njia ya kutatua kosa ni kujisahihisha na sio kusema hakuna kosa kama mleta mada alivyokumbatia eti tusivunje muungano.
 
Ndio maana nikasema , kwa wakati huo "pengine" yeye aliona muundo na muungano huo una faida kwa wakati huo .

Mwaka 2014 Lissu alihoji bungeni hati ya muungano iletwe ,tukajionea kituko wakagoma kuileta badala yake kikasambazwa kipeperushi mtandaoni kuwa ndio hati ya muungano ila bado wakachemka kwenye saini ya Karume baada ya Lissu kuleta sheria za nyuma zenye saini halisi ya Karume kabla ya hiyo inayoitwa hati ya muungano ya 1964.

Hatuwezi kumlaumu , ukinisoma vizuri ndio maana nimesema kwa alichokifanya aliona pengine kina manufaa wakati huo, ila kwetu sisi tuliopo sasa muungano huu hauna tija yoyote na sababu nimeweka hapo kwenye post ya juu kwa uchache tu japo zipo nyingi.

Nikatoa na mfano wa picha ya simu za 1960, 1970,1980 hatuwezi kumlaumu aliyetengeneza simu zile kwamba kwanini hakutuwekea teknolojia kama ya leo kuweza kufanya video calling.

Hatuwezi kumlaumu sababu alitwngeneza simu kuwezesha mawasiliano kwa muda huo na nyakati hizo ila kwa wakati huu aina hii ya simu aliyotengeneza haifai ndio maana tumehamia katika teknolojia mpya ya simu za kisasa.

Hivyo pia kwa Nyererw tusiwe rigid kusema kwakua aliunda muungano basi tutakapoona hauna tija tusiuvunje , maana njia ya kutatua kosa ni kujisahihisha na sio kusema hakuna kosa kama mleta mada alivyokumbatia eti tusivunje muungano.
Waingereza waliingia EU na hawakulazimishwa Kama Zanzibar na walipoona Hakuna maslahi na wao wakatoka kwa Amani , lakini sisi ukiongea kuuvunja unakuwa Adui na Mapadri wanatuambia muungano ulifanywa na Mungu na wanawaambia waumini wao waulinde kwa gharama yoyote.. Na CCM ndio usiseme wao wanakwambia ndio wataulinda kwa nguvu zote. Japo Wazanzibari wamechoka zamani na huu uvamizi
 
Wanaotaka kujenga uwanja wa Ndege Mbugani, hawana hoja.

Na kibaya zaidi nimefuatilia, hawana pesa wanataka kupora pesa PSSSF, NSSF za wastaafu.

Waboreshe uwanja wa ndege wa Mwanza na barabara
Ile hela mabilioni waliyokopa kutoka kwa walipa kodi wa Iraq imeenda wapi?
 
Nakubali na hii imetika na roho na Nia nzuri yake ya kutoa rasil8mali za Tanganyika kwa ajili ya kuipatia uhuru Zanzibar, Angola, Namibia, Zimbabwe na kwengineko.
Inatakiwa ukiweka hoja uweke na sababu inakuwa imekaa vizuri zaidi
Sababu alikuwa na roho mbaya sana.
Alinyang'anya mali za matajiri kwa kisingizio cha Azimio la Arusha.
Alinyang'anya majumba na viwanda vya watu.
Alituingiza kwenye vita na Idd Amini.
Hizi ni baadhi tu ya sababu za Nyerere kututia kwenye lindi la umasikini.
 
Kujishuku ni tusi??

Sikujua.

Takbiiiiiiiiir
Mbona umepanik wapi nimesema kujishuku ni tusi ?
Kasome kitabu cha Padri wako Sivallon Utajuwa kuwa Nyerere ni mdini hatari na namna alivyopiga vita uislamu

Kanisa Katoliki na siasa ya Tanzania bara 1952 hadi 1985​

 
Mbona umepanik wapi nimesema kujishuku ni tusi ?
Kasome kitabu cha Padri wako Sivallon Utajuwa kuwa Nyerere ni mdini hatari na namna alivyopiga vita uislamu

Kanisa Katoliki na siasa ya Tanzania bara 1952 hadi 1985​

Kiko wapi hicho kitabu?

Nyerere alikuwa mkatoliki, sasa kwaini hakufanya Katokiki liwe dhehebu la taifa?

Akaishia kuwapora shule zao tu
 
Tumefika hapa kwasababu tunadhani tuna akili sana kuzidi Nyerere.

Alifuta Machief, sisi tuko busy na siasa na Machief.

Aliheshimu kura, sisi tunataka shortcut za kuengua watu.
Alikemea Rushwa na wala rushwa, wao wako busy na kuwaambia wale kidogo kidogo kwa urefu wa kamba zao

Alikemea ufisadi wao wako busy na "kuwananga" wanaokemea kwamba ni kwasababu hawajaingia jikoni, wakiingia watanyamanza wenyewe
 
Dunia haiongozwi na waliokufa. Hilo liweke kichwani.

Hayo mawazo sijui ya Nyerere, sijui Yesu, sijui Muhamad mara nyingi hutumiwa na watu wajanja kuwadhibiti watu wengi hasa waliotabaka la chini.

Wewe unafikiri watawala wanapofanya maamuzi yao wanakumbuka hata kulikuwa na Nyerere?
Nyerere utamsikia wakiwa majukwaani tuu.

Ukishakufa umekufa mkuu. Waliohai wanauhuru wa kuamua watumie mawazo yako au mawazo yao au mawazo yoyote.

Kijana umegeuka kuwa CHAWA!! sikulaumu ni njaa inakusumbua.
Zamani ulikuwa unaandika vitu vya maana Logical, sasa ni pumba tupu.

Inaonekana hujui historia, kazi ya historia, umuhimu wa historia ya watu waliokufa na kuacha ALAMA njema kwazo watu wajifunze.Eti mtu akifa amekufa.

Samahani kama ulibahatika kwenda shule kidogo, ulienda KUSOMEA NINI?? 🤔🤔, Ulienda KUSOMEA UJINGA??😄😄🤣🤣

By the way ACHA KUENDEKEZA NJAA NA KUTUMIKA 🤔🤔

Leo umepost MBOJI ya kufa mtu🤣🤣🤣
 
Dunia haiongozwi na waliokufa. Hilo liweke kichwani.

Hayo mawazo sijui ya Nyerere, sijui Yesu, sijui Muhamad mara nyingi hutumiwa na watu wajanja kuwadhibiti watu wengi hasa waliotabaka la chini.

Wewe unafikiri watawala wanapofanya maamuzi yao wanakumbuka hata kulikuwa na Nyerere?
Nyerere utamsikia wakiwa majukwaani tuu.

Ukishakufa umekufa mkuu. Waliohai wanauhuru wa kuamua watumie mawazo yako au mawazo yao au mawazo yoyote.
Mtiberi hapa nakupinga;

dunia inaongozwa na mawazo ya watu waliokufa kwa asilimia kubwa sana ndiomaa kuanzia darasani hadi kwenye falsafa za uongozi yanatumika mawazo ya watu waliokufa zamani sana

Kama sivyo, tufute vitabu vyote na gunduzi zote zilizovumbuliwa na waliokwisha kufa twende na vya walio hai tu
 
Kiko wapi hicho kitabu?

Nyerere alikuwa mkatoliki, sasa kwaini hakufanya Katokiki liwe dhehebu la taifa?

Akaishia kuwapora shule zao tu
Kamwombe Padri wako kanisanii lakini kwa Siri watu wasisikie kwani vilinunuliwa vyote na Kanisa.
 
Back
Top Bottom