Am sorry wote mliokuja pm naomba niwajibu hapa nafanya ivi sababu nilishawahi kupigwa humu ndani na hii imepelekea nisimuamini mtu.....
Mpaka niakaamua kufungua id mpya.
Haya fursa zilizopo visiwani yapo mie sio mwenyeji ni
1) Docta, nurse, phamacist
Kwa wenye hii fani huko pesa ipo sana kwani...
Kuna mengi tusiyoyajua na wachache ndo wanaojua... haiwezekani mtu apotee na asijulikane alipo ingekua huku africa ningeamini maana wapelelezi wetu hawako makini,,, lkn huko kwa wazungu ni wazi kuna jambo tena kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.