Hakuna
Madhara yoyote yale, kwani sisi watu wa kusini ni kawaida yetu tangu zamani sana.
Na sijasikia athari ya aina yoyote ile... Na kama ni Mbuzi basi huwa tamu zaidi ya nyama ya ndani... Jaribu mkuuu ngozi Tamu sana
Wakubwa na ndugu zangu naamini Mungu katujalia utajiri wenye thamani, namaanisha Afya. Tuseme Asante......
Kila siku nimekuwa nikifuatilia taarifa kwenye kurasa na blog mbalimbali miongoni mwa hizo ni jamii forums.
Sehemu nyingi kati ya hizo ninakumbana na taarifa juu ya upatikani wa utajili...
Vijana wengi tunaona maisha magumu sana sio kwamba hatujitumi, hapana. Ila shida ni kutaka kujilinganisha na mafanikio ya watu waliokizi umri wa utafutaji, ingawa pia wapo tunajilinganisha na rika letu, hata hivyo tunasahau historia au hali ya uchumi wa familia zao
Ninachoamini kipi? Kwangu...
Sasa wanaoishi maisha ambayo ya shida kiamaish kwamba hawapendwi na wazazi wao? Samahani fuatilia ndoa ya mjomba, au bab zetu.. Waulize alipooa alikuwa na kitu gani kabla? Wengi huanz na sifuri mwisho hujikuta walipo sasa
Miak 30 bila ndoa ni hatari mno mkuu.. Huyo mke ndo anasema utanioa ukimgusa tu.. Huwa hawaolewi kwa mapenz ya kweli zaid ya kuwa na hamu ya ndoa... Mwanamke amezid sana miak 27 awe ameolewa
Kiimani ni kwamba ukiona mtu kafa ujue siku yake imefika
Vuta picha nchi yako ingekuwa mpaka leo inatawaliwa ungekuwa katika hali gani? Je ungempata rais wako wa sasa ukaw unampongeza au kumponda?
Mara nyingi serikari huwa na nia ya kulinda amani hivyo wanapoona kuna dalili ya kukosekana...
Bonge la maneno mazuri kwa upande wa kushauri... Asante sana pamoja na ya wote ila kwako umenishauri vizuri zaidi. Maneno nayakopi kichwani kwangu nitasimama nayo🙏🙏
😂😂 yupo under control ya wazazi.. Sina wasiwasi nae maana naamini ana malengo na mimi na mimi pia ninamalengo nae.. Labda kubadilika mbele kwa tamaa nyinginezo.. Ambazo huzijui.. Kama ujuavyo unaweza kuwa na pesa ndoa ikakuzingua kabisa na hata usitamani.. Na asienazo akampat mtulivu lich ya...
Naona fasta kwa kiasi hicho kwa kuwa...
1 Mimi kama kijana wanawake ni muhimu kuwa nae kwa mahitaji ya ndoa hivyo nikiwa nae nitapunguz gharam na umalaya... Maan kuna likizo nilikuw inanigharimu 20 kumfuat na kumrudisha na posho kidogo😂😂😂😂😂 nimebana hapo...
2 Kuoa ni sehemu yaaisha kwa maan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.