Recent content by Nampurukano

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Samia nchini Urusi inakwenda kutukosesha fursa nyingi za maendeleo kutoka nchi za Magharibi

    Ingawa mtu hachaguliwi rafiki, ni ngumu adui wa rafiki yako kuwa rafiki halafu urafiki wenu ukaendelea kama mwanzo.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Live on TBC: Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    Kikwete hakutufaa ametuharibia sana nchi hii. Magu akaibuka kutaka kurekebisha yakamuua. Kikwetes wanataka ukuu wa nchi lakini hawana uwezo, kurudi kwenye uongozi awe baba, mtoto au mama ni kuturudisha nyuma.
  3. N

    JamiiForums Tanzania CCM na vita ya Upepo Teknolojia imekuwa kasi kuliko ukandamizaji, Kwenye video hii umemtambua nani?

    Kama AI inaweza kufanya hivyo sijui nayo wataiua. Mijitu ya hovyo ilimuua dogo chaula bure tu, kuna mishetani kweli nchi hii!
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ni kwa kiasi gani Mhadhara wa David Kafulila kuhusu PPP umeamsha ndoto ya mapinduzi ya kiuchumi Tanzania?

    Mihadhara hii haiwezi kuendelezwa kwa sababu maeneo ya kusifia ni machache kuliko ya kuchallange kwa hapa Tanzania. CCM inataka machawa na sio fikra tunduizi. Kwa hiyo midahalo ya vyuo imeuliwa na ccm na haitakuja itokee tena kama enzi za mwalimu.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kumbe Kanuni za Kiislamu za Wanawake Ku shake Hand na Wanaume Zinazingatiwa Tanzania tu na sio Russia

    Ukiona mkubwa anafanya tofauti na imani yake haina maana hata wewe ufanye ukiwa unaamini vinginevyo. Zambi ni zambi tu ukitenda ukiwa rais, mkulima mfagizi au padre hukumu iko palepale, ndio maana watu wanasema kama binadamu tutahukumiwa kwa misingi ya amri 10 za biblia hakuna atakaye onja pepo.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Hawajui mama samia kaamua kuongozana na kijana wake badala ya mzee Amir, protokali zinaruhusu.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tujihoji: Kama kweli Nchimbi ni msaliti kama Yuda, angeweza kuachiwa madaraka ya kuitawala nchi kwa zaidi ya siku tatu?

    Kweli wahenga walisema ukicheza sana na mbwa atakufuata hagi msikitini. Yaani mzanzibari anadiriki kumwambia mtanganyika kiongozi mkubwa vile kuwa ni yuda msaliti!? Yaani hawa wazenji kuwa na rais wa Tanzania mzanzibari imekuwa nongwa viongozi watanganyika wamemegeuzwa mayuda! Wabara lazima...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Naamini kwa dhati maudhi na chokochoko za sasa za Wa-Zanzibar ni kutaka kuwaudhi wa-Tanganyika ili muungano uvunjwe. Hatutauvunja Muungano ng'o!

    Kwani usalama wa mipaka uko zanzibar tu, mbona Burundi tumepakana nao lakini mambo yao yanakwenda na sisi ya kwetu yanaenda. Zanzibar ikijitenga watabaki majirani zetu kama zilivyo nchi nyingine. Tuache kuwapa vichwa kwamba usalama wa tanganyika unategemea utulivu wa zanzibar. Siku hizi kila...
  9. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Kumbuka TRA wanakusanya hela yetu ya madafu ambayo lazima tununue dola au euro kuagiza vitu kama madawa, mafuta toka nje, lakini jamaa walikuwa wanatupa Euro, hivyo kukosa foreign currency za burebure kunatuathiri pia kwenye manunuzi ya nje, BOT hicho kitu wanakijua, hivyo sio suala la kuwa na...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Acha ndoto, fikiria kiuhalisia. Mugabe baada ya kugombana na nchi za magharibi alikimbilia pia hukohuko urusi na China, mpaka wazimbabwe wanamchomoa kwenye urais aliacha nchi bado hoi. Kwa sasa kila ziku Zimbabwe inatumia platform za mikutano ya africa kuomba kurejesha uhusiano na magharibi...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Watu wote wenye akili duniani wanaishi visiwani, ndio maana kisiwa cha uingereza kiliweza kuitawala dunia ambayo watu wengi wako bara. Wazanzibari lazima wawatawale wabara kutokana na watu wake kukosa akili. Askari wa bara wanawatwanga risasi za vichwa wabara wenzao kama wanaua nyoka. Mwaka 2001...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Biblia na ukristo unanishngaza sana haueleweki.

    Hakuna mtu duniani anaelewa vitabu vya dini, walioandika wenyewe hawaelewi.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Walimu waliweka tiki Oktoba 29, wamepigwa pini madaraja wanatoa milio

    Si walichangia kumnunulia samia fomu bado hawajjapandishwa tu.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Gen Z ni kizazi ambacho kitakuja kuwa na mafanikio kuliko sisi millennia

    Hayo mambo mbona yapo toka enzi na enzi, we ndio unayaona leo. Ndo maana tunasema siasa zikiwa safi hizo fursa za kumilki mali ukiwa kijana zipo toka zamani.
Back
Top Bottom