Kikwete hakutufaa ametuharibia sana nchi hii. Magu akaibuka kutaka kurekebisha yakamuua. Kikwetes wanataka ukuu wa nchi lakini hawana uwezo, kurudi kwenye uongozi awe baba, mtoto au mama ni kuturudisha nyuma.
Mihadhara hii haiwezi kuendelezwa kwa sababu maeneo ya kusifia ni machache kuliko ya kuchallange kwa hapa Tanzania. CCM inataka machawa na sio fikra tunduizi. Kwa hiyo midahalo ya vyuo imeuliwa na ccm na haitakuja itokee tena kama enzi za mwalimu.
Ukiona mkubwa anafanya tofauti na imani yake haina maana hata wewe ufanye ukiwa unaamini vinginevyo. Zambi ni zambi tu ukitenda ukiwa rais, mkulima mfagizi au padre hukumu iko palepale, ndio maana watu wanasema kama binadamu tutahukumiwa kwa misingi ya amri 10 za biblia hakuna atakaye onja pepo.
Kweli wahenga walisema ukicheza sana na mbwa atakufuata hagi msikitini. Yaani mzanzibari anadiriki kumwambia mtanganyika kiongozi mkubwa vile kuwa ni yuda msaliti!? Yaani hawa wazenji kuwa na rais wa Tanzania mzanzibari imekuwa nongwa viongozi watanganyika wamemegeuzwa mayuda! Wabara lazima...
Kwani usalama wa mipaka uko zanzibar tu, mbona Burundi tumepakana nao lakini mambo yao yanakwenda na sisi ya kwetu yanaenda. Zanzibar ikijitenga watabaki majirani zetu kama zilivyo nchi nyingine. Tuache kuwapa vichwa kwamba usalama wa tanganyika unategemea utulivu wa zanzibar. Siku hizi kila...
Kumbuka TRA wanakusanya hela yetu ya madafu ambayo lazima tununue dola au euro kuagiza vitu kama madawa, mafuta toka nje, lakini jamaa walikuwa wanatupa Euro, hivyo kukosa foreign currency za burebure kunatuathiri pia kwenye manunuzi ya nje, BOT hicho kitu wanakijua, hivyo sio suala la kuwa na...
Acha ndoto, fikiria kiuhalisia. Mugabe baada ya kugombana na nchi za magharibi alikimbilia pia hukohuko urusi na China, mpaka wazimbabwe wanamchomoa kwenye urais aliacha nchi bado hoi. Kwa sasa kila ziku Zimbabwe inatumia platform za mikutano ya africa kuomba kurejesha uhusiano na magharibi...
Watu wote wenye akili duniani wanaishi visiwani, ndio maana kisiwa cha uingereza kiliweza kuitawala dunia ambayo watu wengi wako bara. Wazanzibari lazima wawatawale wabara kutokana na watu wake kukosa akili. Askari wa bara wanawatwanga risasi za vichwa wabara wenzao kama wanaua nyoka. Mwaka 2001...
Hayo mambo mbona yapo toka enzi na enzi, we ndio unayaona leo. Ndo maana tunasema siasa zikiwa safi hizo fursa za kumilki mali ukiwa kijana zipo toka zamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.