Recent content by Nampurukano

  1. N

    JamiiForums Tanzania Nestory Nkindikwa ‘kijana mzalendo’ afikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha baada ya siku 48 mahabusu

    Serikali wameamua kupiga shortcut ya sheria kwa kuwafunga wapinzani kwa kuwaweka mahabusu kupitia mashtaka ya ugaidi badala ya hukumu za mahakimu ambazo wameona zinamlolongo mrefu. Watendaji wa serikali kubuni vitu vya kutesa wenzao vichwa vyao vyepesi sana, waambie wabuni vitu vya maendeleo...
  2. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Huyu mama si muislam, hamuogopi hata mwenyezi mungu kusema uongo, wazanzibar milioni mioja wanaweza kufikisha asilimia 97 Tanzania wakimpigia kura wote!
  3. N

    JamiiForums Tanzania Bila kifo cha Magu, Bashiru alikuwa anaukwaa Urais kimzaha

    Hatutaki muislam tena awamu ijayo, wakina shehe mwaipopo wametuchosha.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Kikwete kaivuruga sana Tanzania, mpaka tuje tukae sawa sio leo.
  5. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Nashangaa mpaka leo Polisi wameshindwa kukamata mtu hata 1 wa mauaji ya Oktoba 29, 2025

    Samia Kaunda tume ya chande ripoti kaficha, hii tume anataka kuangalia sijui vitu gani, hawa watendaji wa serikali kwa sababu wanapiga mpunga wa posho za tume basi kila wakati wanashauri kuunda tume za uchunguzi. Sidhani kama hizi tume zitasaidia kuondoa kiini cha tatizo la maandamano...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Jamani tuwe wakweli mbeya kama jiji imesahaulika sana kimiundombinu. Mbeya badala ya kukua inarudi nyuma. Mwabukusi anaongelea uhalisia. Kwa sasa mbeya ndio jiji la hovyo kuliko majiji yote hapa Tanzania. Halina mvuto kabisa!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Upolisi siyo kazi ya laana, hakuna taaluma iliyoundwa kwa ajili ya dhuluma. Kusudi la upolisi ni kulinda maisha ya wananchi

    Polisi hawawezi kuwa wasafi kwa sababu wanatekeleza amri za viongozi wa kisiasa wahalifuwaliojivika ngozi ya uzalendo. Kiongozi anayeweka mikakati ya kuteka, kutesa na kuua raia kwa siri kama hayawani nq polisi wakatekeleza mikakati hiyo, hawezi kuwafanya polisi wakaoneka wanaheshima. Ni...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kama mwenendo ndiyo huu hii dira ya 2050 isogezwe miaka 100 mbele matapeli wote watakuwa wameshakufa

    Dira hii hata ungesogeza mbele miaka 200 malengo yake hayawezi kufikiwa. Tanzania ya ccm imeweka kiwango cha chini mno cha kupata na kuwawajibisha viongozi ambao ndio nguzo muhimu ya kufikia malengo.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Lema kwa Kitila: Jamii inayoheshimu elimu lakini inaadhibu fikra huru, hujenga wasomi lakini si wenye hekima

    Waziri wa Mipango na uwekezaji, anachopanga kinaenda kushoto anachowekeza kinaenda kulia. Hii ndio Tanzania ya awamu ya sita.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkenda Anendesha Sera ya Wizi Kupitia Samia Scholarship Program

    Maprofesa wa PhD za udhanifu wanatuharibia sana nchi hii, kila kitu kinabebwa kichawachawa tu na ufisadi juu.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Nchi hii watendaji wa serikali hawapendi kabisa kutumia Sheria zilizopo kutoa haki ingawa wao wanataka kutendewa haki kwenye masuala yao. Watendaji wa serikali wanawaza kumkomoa raia mnyonge kila wakati. Kuna haja gani ya askari kumwaga alzeti ya kijana kwenye mfereji wakati hao askari...
  12. N

    JamiiForums Tanzania KIFO CHA GADDAFI: FUNZO LA USALITI NA UJINGA WA WAAFRICA ⚖️🔥

    Kila siku 'mabeberu mabeberu' waafrika mtaondoka lini katika fikra za kitumwa na kuwa binadamu mnaofikiri. Makosa yenu mnawasingizia wazungu, nyie mmekuwa ngo'ombe au nusu binadamu. Kwani huko Tanzania ambako hamuuani tanzanite au hizo dhahabu zenu zinachukuliwa na nani, na babu zenu kaburini...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Baada ya kumshukuru Mungu huwa namshukuru Rais Samia kwa kunipa fursa

    Kutotegemea misaada lazima kuendane na maisha bora, mnajisifu kwamba hatutegemei msaada wakati mnashidwa hata kuweka vifusi kwenye barabara za mitaani Dar es salaam na miji mingine. TARURA wanaishia kukwangua vumbi au matope, ukiwaliza hicho mlichofanya ndio nini utasikia hii ndio hela...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Kitaeleweka si muda mrefu: Marekani yaonya uwezo wa kujilinda wa Israel dhidi ya Makombora ya Iran

    Huyo Iran mnayesema anauwezo wa kumshambulia Israel ni huyu ambaye viongozi wake wanadunguliwa Ikulu au kuna Iran mwingine. Iran ambaye anapigwa na Israel halafu anarusha makombora kwa waarabu wenzie badala ya kupiga Washington au Telaviv. Huyo Iran mwenye hizo sifa ni yupi
  15. N

    JamiiForums Tanzania Open-Source Intelligence: Silaha ambayo Iran Haikulazimika Kuinunua

    Hizo story za vijiweni unaona ndo facts za mbinu za kupambana na marekani.
Back
Top Bottom