Serikali wameamua kupiga shortcut ya sheria kwa kuwafunga wapinzani kwa kuwaweka mahabusu kupitia mashtaka ya ugaidi badala ya hukumu za mahakimu ambazo wameona zinamlolongo mrefu. Watendaji wa serikali kubuni vitu vya kutesa wenzao vichwa vyao vyepesi sana, waambie wabuni vitu vya maendeleo...
Huyu mama si muislam, hamuogopi hata mwenyezi mungu kusema uongo, wazanzibar milioni mioja wanaweza kufikisha asilimia 97 Tanzania wakimpigia kura wote!
Samia Kaunda tume ya chande ripoti kaficha, hii tume anataka kuangalia sijui vitu gani, hawa watendaji wa serikali kwa sababu wanapiga mpunga wa posho za tume basi kila wakati wanashauri kuunda tume za uchunguzi. Sidhani kama hizi tume zitasaidia kuondoa kiini cha tatizo la maandamano...
Jamani tuwe wakweli mbeya kama jiji imesahaulika sana kimiundombinu. Mbeya badala ya kukua inarudi nyuma. Mwabukusi anaongelea uhalisia. Kwa sasa mbeya ndio jiji la hovyo kuliko majiji yote hapa Tanzania. Halina mvuto kabisa!
Polisi hawawezi kuwa wasafi kwa sababu wanatekeleza amri za viongozi wa kisiasa wahalifuwaliojivika ngozi ya uzalendo. Kiongozi anayeweka mikakati ya kuteka, kutesa na kuua raia kwa siri kama hayawani nq polisi wakatekeleza mikakati hiyo, hawezi kuwafanya polisi wakaoneka wanaheshima. Ni...
Dira hii hata ungesogeza mbele miaka 200 malengo yake hayawezi kufikiwa. Tanzania ya ccm imeweka kiwango cha chini mno cha kupata na kuwawajibisha viongozi ambao ndio nguzo muhimu ya kufikia malengo.
Nchi hii watendaji wa serikali hawapendi kabisa kutumia Sheria zilizopo kutoa haki ingawa wao wanataka kutendewa haki kwenye masuala yao. Watendaji wa serikali wanawaza kumkomoa raia mnyonge kila wakati. Kuna haja gani ya askari kumwaga alzeti ya kijana kwenye mfereji wakati hao askari...
Kila siku 'mabeberu mabeberu' waafrika mtaondoka lini katika fikra za kitumwa na kuwa binadamu mnaofikiri. Makosa yenu mnawasingizia wazungu, nyie mmekuwa ngo'ombe au nusu binadamu. Kwani huko Tanzania ambako hamuuani tanzanite au hizo dhahabu zenu zinachukuliwa na nani, na babu zenu kaburini...
Kutotegemea misaada lazima kuendane na maisha bora, mnajisifu kwamba hatutegemei msaada wakati mnashidwa hata kuweka vifusi kwenye barabara za mitaani Dar es salaam na miji mingine. TARURA wanaishia kukwangua vumbi au matope, ukiwaliza hicho mlichofanya ndio nini utasikia hii ndio hela...
Huyo Iran mnayesema anauwezo wa kumshambulia Israel ni huyu ambaye viongozi wake wanadunguliwa Ikulu au kuna Iran mwingine. Iran ambaye anapigwa na Israel halafu anarusha makombora kwa waarabu wenzie badala ya kupiga Washington au Telaviv. Huyo Iran mwenye hizo sifa ni yupi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.