Mm sipendi story za mtaani. Kuna ushahidi wa hili linalosemwa?? Je source yake ni nini? Naomba source ya hili jambo ili nami niliamini make sijaiamini hii habari ya ndoo za dola wala m200 na m150. Nikisema source namaanisha mamlaka iliyotangaza kukutwa hizo fedha majumbani mwa watu na kituo cha...
Hapa nimepanda kivuko kikubwa, utadhani kimewekwa juu ya maji kielee chenyewe na kufika ng'ambo ya pili ni kudra za Mungu. Hivi vivuko vinatutesa jamani.
Imagine mtu unafika hapa ferry saa moja kamili alafu bahati mbaya ukikuta vivuko vyote viko ng'ambo basi ujue mpaka unavuka ni saa mbili. Mimi nashangaa kwa maana kutoka ng'ambo moja kwenda nyingine ni mwendo wa dakika tano.
Je, kuna umakusudi wowote wa kutuchelewesha au ni matatizo ya vivuko?
Hivi hii barabara ya Kilwa iko chini ya Tanroads au mtu binafsi? Hii barabara tangu ianze kurekebishwa haijawahi kuisha.
Watu wamepasua sana tairi zao za magari hasa wale wanaotoka Mbagala kwenda mjini. Hivi gari likipasua tairi kama mtu anafile kesi si anaweza kuishtaki serikali? Kwa maana...
Wapendwa naomba msaada ni ipi TV nzuri kwa uimara na ubora kati ya LG inchi 32 na Sumsung inchi 32. Naomba msaada wenu niko njia panda. Pia kwa mwenye kujua anisaidie na bei zake sokoni ziko vipi kwa size hizo nilizotoa. Natanguliza shukrani.
Ni maziwa gani mazuri ya mtoto wa umri wa miezi miwili.
Kwa maana wife anataka kumwanzishia mtoto maziwa kwani likizo ya uzazi ndo inaisha.
Naomba msaada wenu wazazi wenye uzoefu na maziwa ya mtoto.
Jeshi la polisi limezuia maandamano ya aina yoyote katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Nawapongeza kwa kuzuia maandamano yaliyokuwa yafanyike na vijana wa chama flani mpaka kupelekewa kukamatwa kwao na kufikishwa mahakamani. Sasa naona matangazo ya maandamano na wafuasi flani wa 'chama' flani...
Star tv, kwa nini wasiwaite Tundu Lissu na Dr Slaa wakaweka mjadala mpana? Wanategeshea tusikilize upande mmoja tu, kwa nini? Alafu star tv wanachukua Lissu kwenye record!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.