Recent content by Namge

  1. Namge

    Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

    Tafakari sana,kama wewe unafanyiwa yote hayo..karata zako ni chache sana..you don't have life..but you can't see. Kuna mda nlikuwa teja kama wewe..bt it happened mke wangu akasafiri..nikawa napiga simu kuuliza kila kitu..hata chumvi sijui ilipo kwenye nyumba yangu mwenyewe. It was as if I am a...
  2. Namge

    Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

    Umenikumbusha mhangaza wangu..alikuwa anarusha maji mpka yanachuruzika mlangoni...kuna cku nipo nae Lodge mwanza mhudumu anagonga mlangoni anajua maji yanamwagika toka chooni..she was a bad news when it comes to squatting..
  3. Namge

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    What are even doing here at the first place..
  4. Namge

    Wanaume tukumbushane kidogo mbinu za kivita Kula wademu wenye kazi na mishahara mikubwa

    Anza tu kunywa pombe brother...tabu zote hizo zote ni kwa ajili ya mwanamke mtu mzima..
  5. Namge

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hongera sana mkuu...umekuwa mwema na muungwana
  6. Namge

    Siku hizi hakataliwi mtu, unaombwa pesa mwisho wa siku unakimbia mwenyewe

    Fanya tu kwa wanaume wasio na pesa..kuna sehemu utapewa kila kitu..halafu zamu yako ikifika utatatuliwa marinda..
  7. Namge

    Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

    DM namba ako...we can talk
  8. Namge

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Just enjoy the story,humu ukweli unachanganya na uongo mob sana
  9. Namge

    Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

    Punguzeni mizinga...
  10. Namge

    Mzungu kakataa Mimba

    Unabeba mimba alikwambia anataka mtoto,be smart
  11. Namge

    Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

    Mungu yupo,ila dini ni utapeli....
  12. Namge

    Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

    Huyo aliyekuoa ni baba mtoto wa mwanao
  13. Namge

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Halafu only Rachel ndo alikuwa anampatia mwamba...technically alikuwa hapindui
Back
Top Bottom