Kwanini wataalamu wanaopata shahada na astashada kwenye vyuo vyeti hapa Tanzania hawapewi nafasi za mbele kwenye miradi nchini?
Je ni kweli wamepata ujuzi au sisi wenyewe hatuwaamini na kama ndivyo basi kifanyike nini kurekebisha haya?
Serikali inabidi iliangalie hili kwa jicho la tatu kwasababu majambazi na watu watakaofanya kazi za hovyo mtaani wanazidi ilihali mtu angepata nssf yake angeweza kuanzisha hata biashara yoyote na maisha yakasonga
Mimi kama mdau na mnufaika wa mafao napata changamoto.
Niliacha kazi na nikaandika barua kwamba nakwenda kujiendeleza na masomo nikitegemea kutumia mafao yangu katika elimu kama kujilipia ada na kadhalika nafika nssf nauliza utaratibu naambiwa wewe huwezi kupata nssf hadi ufikishe miaka 55...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.