Hatimaye safari yangu ya kuusoma huu uzi kwa siku tano sasa imekamilika.
Vile nazidi kuelewa ndio nazidi kugundua sijui.
Asante Rakim kwa uzi huu.
Ningekutana nao 5 years ago nisingekuelewa kabisa.
Mwanangu wa kiume tulimtahiri akiwa na miaka 4..nina jirani zangu ambao wote mtu na mumewe ni doctors...walikuwa wananinanga kweli kwa kumchelewesha...first born wao walimtahiri akiwa na 2 weeks kama sikosei...yule dogo saa hizi anakribia miaka 5...kidudu chake kimegoma kukua...very healthy...
Kha..sasa tatizo liko wapi kama watu wanafanya mazoezi ya kurembesha sauti zao...
Hayo ya ulaya tuwaachie wa ulaya kwa sasa untill then...ndio mnajifanya hampendi hizi sauti za kumtoa nyoka pangoni au mnakiri udhaifu vile hivi vi so called FAKE vinavyowakaushia ATM zenu bila shuruti...hahahaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.