Swala lipo hv;- Kama kweli mwanamke anakupenda atajitahidi akwambie ana kwa ana na kama ni muoga bac atakutumia sms ya kukuelezea hisia zake na baadae atakutaka uonane nae ili kukuweka wazi vigezo alivyotumia kukupenda. Kama yeye anaishia kukutumia sms tu hyo anakutamani na huenda kuna kitu...
Swala lipo hv;- Kama kweli mwanamke anakupenda atajitahidi akwambie ana kwa ana na kama ni muoga bac atakutumia sms ya kukuelezea hisia zake na baadae atakutaka uonane nae ili kukuweka wazi vigezo alivyotumia kukupenda. Kama yeye anaishia kukutumia sms tu hyo anakutamani na huenda kuna kitu...
Natumia rangi hii kwa sababu ya mada niliyoitoa. Nataka mchumba anayejiheshimu, mwenye upendo wa dhati, anayejiamini, anayependa kuonya na kushauri, muwazi na mvumilivu na awe na umbo kuanzia wastani mpaka mnene kiasi up to 70kg, rangi yoyote na awe na uwezo kiwango kuanzia wastani mpaka cha juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.