Recent content by Nakei. Jq

  1. N

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Hii tabia ya makonda na hao vujana ni uhuni na kukosa ustarabu, ni tabia isiyokubalika katika jamii ya binadamu wastaarabu
  2. N

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Ccm ni janga kwa taifa hii ujinga kama huo hauwezi kufumilika utafika wakati waliotulia watakapojibu hii nchi haikaliki. Kwann wanakosa uadhilifu na kufanya upuuzi kama huo. Hoja imewashinda wasitegemee kuna njema kwenye kutumia nguvu na mabafu.
  3. N

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Kwa kitu alichokifanya kama katumwa au kafanya mwenyewe huyo ni Janga la Taifa. Ni aibu kwa vijana na jamii ya watanzania kwa ujumla.
  4. N

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Ccm kilishakufa siku nyingi Saiv inatumia nguvu kila kitu hawana hoja zaidi ya nguvu na mabafu elfu 2015 si mbali wananchi wachukue hatua ya kuwatoa mapema madarakani kabla hawajaleta balaa kwenye nchi hii maana wameshafikia hatua ya kuleta kila aina ya vurungu baada ya kukosa hoja.
  5. N

    January Makamba naye asema tunahitaji Rais ajaye awe Dikteta

    Hatumhitaji dictator mbali rais mwadilifu na mwenye uwezo wa kusimamia maadili. Hapo nashindwa kumwelewa kama makamba anashindwa kumtofautisha dictator na mtu mwenye uwezo wa kusimamia maadili.
  6. N

    Halima Mdee aachiwa huru

    Wananchi si wajinga hatutaki katiba ya watawala tunataka katiba ya wananchi. Katiba iliyotengenezwa Dodoma si ya wananchi bali ni ya chama tawala. Ni jukumu letu wote kuipinga hii katiba inayolinda masilahi ya watawala badala ya wananchi.
  7. N

    Waliomzomea mwanasheria hawajitambui

    Ni aibu kwa waliomsomea mwanasheria mkuu zanzibar badala ya kusikiliza hoja wao ni kusomea, bahati mbaya hawajitambui kama wanafanya mambo ya aibu kusomeasomea. Mwanasheria mkuu ametumia haki yake ya msingi kupiga kura ya hapana kwa vipengele aliyokuwa ameona haipo sawa kwa masilahi ya taifa...
  8. N

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    Inasikitisha sana haya mauaji yanayofanywa na Polisi huu ni ugeukwaji mkubwa sana wa haki ya binadamu. Polisi wajue wanachotukifanya sio kutisha wala wala kuwafanya watu wasidai haki zao za msingi mbali ni kusabisha chuki na mwisho wa siku vita na hali ya kutokuwa na utulivu kama tunavyona...
  9. N

    Mwandishi wa habari wa ITV/ Radio 1 azimia kwa kipigo cha polisi

    Polisi wa Tanzania wamekuwa wakitumika vibaya na chama tawala kwahiyo wamebaki kutumia nguvu kubwa bila sababu kwa kila jambo. Lkn ipo siku demokrasia ya kweli itapatikana tofauti na huo ubabe unafanywa saiv na chama tawala kupitia Polisi
  10. N

    Hakuna Demokrasia Tanzania, Wajerumani Watangaza

    Tanzania kwa hali ya Polisi kuwapiga na hata kuwa ua watu kwenye maandamano ya amani hakuna demokrasia kabisa hata kidogo na hii tabia ya Polisi kutumika kuminya demokrasia ni wazi ni mpango mchafu wa chama tawala dhidi ya raia wake jinsi ilivyo haijali haki ya binadamu na wananchi wake.
  11. N

    Mwenyekiti Freeman Mbowe atazungumza na makamanda Makao Makuu ya Chama hivi punde

    Pamoja makanda lazima siku moja heshima itawepo katika nchi hii na na rasimali za nchi hii itaheshimiwa siku moja.
  12. N

    Mwenyekiti Freeman Mbowe atazungumza na makamanda Makao Makuu ya Chama hivi punde

    Mhuni wewe mwenyewe usioelewa chochote kinachoendelea katika nchi hii. Watu wenye uzalendo hawataacha kupigania haki na kulinda rasimali zao.
  13. N

    Kumbukumbu ya mauaji ya Daudi Mwangosi

    Ww unazungumzia mambo ya kada wa chama watu wanachoangalia ni ugeukwaji wa haki za binadamu bila kujali ametoka chama gani. Au haki ya binadamu inatolewa na kuangalia kichama. Haki za binadamu haiangali chama, dini, kabila, rangi wala hali ya mtu.
Back
Top Bottom