Nawapongeza Wapiganaji CCM kwa kutoa tamko lenye msimamo mkali dhidi ya mafisadi ingawa wao wenyewe hawakujitaja majina. Naamini kutojitaja majina kwa sasa ni mbinu sahihi ya kivita kulingana na mazingira tuliyonayo hapa nchini. Pia ni imani yangu kuwa utakapofika muda muafaka umma utawafahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.