Recent content by Naja naja

  1. Naja naja

    Maisha ya bongo ili utoboe jifunze sana kuroga

    Unaishi dar sehemu gani?
  2. Naja naja

    Maisha ya bongo ili utoboe jifunze sana kuroga

    Kuna mambo mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia bila ya wewe mwenyewe tafadhari usipuuzie tafuta mtaalamu akuwekee sawa mambo yako la sivyo utatumia nguvu kubwa sana lakini hutotoboa . Kama utaona aibu kwenda kwa mtaalamu basi nenda maduka ya dawa ya asili wakuuzie dawa zitakazokukinga na...
  3. Naja naja

    Ili upate pesa inabidi uwe na pesa

    Ujuzi unahitaji vifaa, unahitaji pesa kuuendeleza.
  4. Naja naja

    Ili upate pesa inabidi uwe na pesa

    Mipango mbalimbali ya kimaendeleo huwa inakwama kutokana na ukosefu wa pesa. Umaskini ni adhabu kubwa sana pia umaskini unadhalilisha mno. Ni ngumu sana kutoboa kimaisha ukiwa maskini na hata kwenye kusoma huwezi kusoma kwa raha kutokana na umaskini. Pesa hufuata pesa nyenzake ilipo.
  5. Naja naja

    Nidhamu na outlooking yako ni mambo ya msingi sana yatakayokufanya ufikie malengo mapema

    Usilale sana, masaa manne mpaka sita kwa siku yanakutosha
  6. Naja naja

    Nidhamu na outlooking yako ni mambo ya msingi sana yatakayokufanya ufikie malengo mapema

    Nidhamu ni silaha muhimu sana kwenye maisha, iwe nidhamu ya kumuheshimu mtu awe mdogo au mkubwa, nidhamu ya muda, nidhamu ya pesa nk. Muheshimu mdogo hata kama umemzidi umri kiasi gani na jiepushe na kumuita mtu uliyemzidi umri ukamwita "DOGO" , muite angalau mdogo wangu angalau lina sound...
  7. Naja naja

    Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

    Humu wapo ninaowaheshimu na kuwasikiliza chochote watakachoniambia ,kwa kuwa wanamsaada kwangu .
Back
Top Bottom