Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe mzuri sana....No one knows 2mrw.Iogope sana kesho yako maana huijui ikoje, Leo umeshaiona na madhaifu yake umeshayaona ,kesho huijui huenda ukaamka upo hoi kitandani au ukapata ajali ambayo itakupa ulemavu wa kudumu.
Upo sahihi ila ukiishi kwa mtindo huo no life any moreIogope sana kesho yako maana huijui ikoje, Leo umeshaiona na madhaifu yake umeshayaona ,kesho huijui huenda ukaamka upo hoi kitandani au ukapata ajali ambayo itakupa ulemavu wa kudumu.
Ikiwa hivi si tutaishi maisha ya hofu muda wote? Hata kidogo ukipatacho hutakifurahia maana una hofu ya kesho.
Tunatakiwa kuishi kwa imani tukiamini kesho itakuwa bora zaidi
Maneno mazuri sana hayaIogope sana kesho yako maana huijui ikoje, Leo umeshaiona na madhaifu yake umeshayaona ,kesho huijui huenda ukaamka upo hoi kitandani au ukapata ajali ambayo itakupa ulemavu wa kudumu.