Recent content by naija-lojja

  1. naija-lojja

    Kwa nini kupanda kwa uchumi wa nchi nyingi za Africa ikiwamo Tanzania hakuendani na maisha ya wananchi?

    Tofautisha kati ya economic development na economic growth
  2. naija-lojja

    Wanaume ambao wake zao ni masecretary huwa mnajisikiaje?

    Hawezi pona kwa ile mitonyo ya boss
  3. naija-lojja

    Wanaume ambao wake zao ni masecretary huwa mnajisikiaje?

    Assume ni mwanaume alafu endelea
  4. naija-lojja

    Wanaume ambao wake zao ni masecretary huwa mnajisikiaje?

    Wahenga:fimbo ya mbali haiui nyoka
  5. naija-lojja

    Wanaume ambao wake zao ni masecretary huwa mnajisikiaje?

    Kwa ile privacy alionao mmmh cjui kma itakwepeka io kitu
  6. naija-lojja

    Wanaume ambao wake zao ni masecretary huwa mnajisikiaje?

    Nawangoja apa[emoji15][emoji15][emoji15]
  7. naija-lojja

    Wanaume ambao wake zao ni masecretary huwa mnajisikiaje?

    Pole na majukumu wanajamvi, Katika pita pita kwenye maofisi kuna kitu nimekiona unakuta secretary muda mwingi yuko ofisini anamuhudumia boss wake kuliko muda ambao anakaa na familia yake na heshima anayo mpa boss wake sidhani kama mume unaipata. Sasa swali langu ni kwawanaume ambao wake zenu...
Back
Top Bottom