Mkuu nimevutiwa na jinsi unavyohamasisha sisi vijana tunaotaka kujiajiri,hongera sana. Mimi naishi ifakara na napenda niweze kupata ufafanuzi vizuri jinsi ya kulima nyanya na gharama zake kilimo ni cha nje tu. Ila sina mtaji mkubwa. Naomba ushirikiano wako kuna namba ya voda nimeiona nitakupigia...
Option ya kwanza nenda tra kachukue TIN then tafuta leseni ya biashara itakusaidia kupata line yenye jina lako ukienda of is za tigo hapo ulipo.
Option ya pili line zinauzwa mtaani kuna watu wametumia wameamua kuachan nw hii biashara so zipo waulize mawakala watakusaidia kuzipata Ni being za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.