Akili ndogo zina tabu yake
Mpo mnapambana na Chadema nchi ipo inazama.
Ufisadi Nssf.
Madeni kulielemea taifa wakati yalikwenda kwenye kampeni za ccm.
Mikopo elimu ya juu imekuwa hadith.
Mitaani hakukaliki hali ni mbaya.
Halafu watu wazima kama nyie mnaacha kuishauri nchi nini cha kufanya mpo...
Nssf imekumbwa na ufisadi mkubwa wa pesa, na ufisadi huu ulifanyika wakati wa uongozi wa Dr. Dau aliye kuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo la NSSF.
Na mkurugenzi mpya aliyepo mda huu amethibitisha upotevu huo wa fedha akisema zaidi ya bilioni 240 zimeliwa.
Sasa mambo yanayo nishangaza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.