Recent content by Nafwachii

  1. N

    Orodha ya majina ya watumishi waliohamishiwa MSM September 2017

    mimi nimepewa bandiko hili na mkurugenzi wangu chalinze
  2. N

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Kamwane, unogage bee
  3. N

    Neema ya barabara wale wa Kivule, Matembele Chakenke, Mkong'oto, Sirari, Frem Kumi, Mbondole mpaka Msongola

    hakika kwani walishavulunda sana miradi mingine, hakukuwa na haja ya tanroad kuwapa mingine
  4. N

    Neema ya barabara wale wa Kivule, Matembele Chakenke, Mkong'oto, Sirari, Frem Kumi, Mbondole mpaka Msongola

    itajengwa kwa miaka miwili nasikia...hizo kilometa 3.2 kwa miaka miwili...mpaka tufike msongora hiyo ni 2020, harafu lazima itakuwa haina mifereji tu
  5. N

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Kiwanja cha makazi kinauzwa Eneo: Mafinga -kinyanambo C Ukubwa: Mita 50x45 Umbali kutoka Moro-Mbeya road: chini ya mita300 Bei: Millioni 5 Ukitaka nusu unapata kwa million 3 Umiriki: Kiwanja ni changu mwenyewe Maji na umeme vipo tayari mita 400 kufika stendi ya daladala
  6. N

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    mkuu hupatikani whatsapp......estimate ya kupima 15mx18m kitunda?
Back
Top Bottom