Recent content by Nafsi Angavu

  1. N

    Nataka niachane na huyu Mwanamke bila kuathiri Watoto

    Tafakari maamuzi yako upya, kuna uwezokano mkubwa ww ndio ukawa tatizo mpaka huyo mwanamke kupelekea kuwa hvyo,.katika maisha ya ndoa moto hauzimwi na moto,.ww ni mtoto wa kiume hvyo ww ni kiumbe imara na jamii inajua kuwa mwanaume ni kiumbe imara na mwanamke ni kiumbe dhaifu..mimi kama mwanaume...
  2. N

    Laptop inauzwa. Tupigie kupitia Whatsap

    Kama utafika 270 nakupa hp touchscreen
  3. N

    Laptop inauzwa. Tupigie kupitia Whatsap

    Kama una 230k njoo nikupe lenovo touchscreen
  4. N

    Laptop inauzwa. Tupigie kupitia Whatsap

    Zipo za kutosha boss na aina tofauti
  5. N

    Laptop inauzwa. Tupigie kupitia Whatsap

    OFFER OFFER 🌙 Hp 840 g3 core i7 Ram 8gb Ssd 256gb Super clean condition Battery 4 hours Windows 10 Basic programs installed 💎good for games 💎high speed in internet 💎for study and other task 💎engineers hii inawafaa 💎wanachuo hii ni Safi Price: 450,000/=tsh Call/whatsapp 0695472265
  6. N

    Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

    Taarifa ya UN kuhusu Rwanda na M23 ni kweli, lakini hiyo inathibitisha kuwa Rwanda inaingilia Congo kiharamu na inalaumiwa kimataifa. Tanzania haiwezi kufuata mkondo huo, lazima tuwe mfano wa heshima kwa makubaliano rasmi na serikali ya Congo. Kuhusu mfano wa Marekani na Kuwait, ni sahihi...
  7. N

    Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

    hoja yako ina msisimko lakini haina mashiko hebu tuiangalie kwa ukaribu. Rwanda inaingilia Congo kwa njia za kificho, na mara nyingi inakosolewa kimataifa. Tanzania, kwa heshima yake, haiwezi kutumia mbinu za "kuvizia" kama Rwanda. Sisi tuna historia ya kuheshimu sheria za kimataifa, na hatutaki...
  8. N

    Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

    Ni kweli Congo ni mwanachama wa EAC sasa (kuanzia 2022), lakini hoja ya diplomasia inahusu tahadhari na usawa wa kushughulikia maslahi ya nchi wanachama wote, hasa Rwanda ambayo inatajwa mara kwa mara kuhusika na M23.
  9. N

    Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

    Shida ipo na sio rahisi kama unavyodhani labda tukurupuke tu..Athari zitakazojitokeza. 1. Diplomasia ya Kikanda: Rwanda, mshirika wa EAC, inahusishwa na M23 hatua ya Tanzania inaweza kuzua mvutano. 2. Usalama wa Ndani: Tanzania inaweza kuwa shabaha ya mashambulizi ya kulipiza kisasi. 3...
  10. N

    Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

    hyo sio sababu ya Mwalim kutangaza vita.sababu zilizofanya Mwalim nyerere kutangaza vita ni uhasama wa kibinafsi kati ya Mwalim Nyerere na Iddi Amin,,Mwalimu alikuwa akiamini sana kwenye sera ya ujamaa tofauti na Iddi Amini ambaye yeye alikuwa akiamini mfumo wake binafsi ambao ulijikita kwenye...
  11. N

    Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

    Ukiwa umefikia hapo basi ni hatua nzuri na hakika unakuwa kifkira ila nakuhakikisha baada ya muda utarud kwenye mfumo wa dini yako na hautoongea tena kuhusu dini na Mungu wala kubishana..hapo sasa ndio utakuwa umekamilika kifkira na roho..
  12. N

    Hivi ni kweli watu walioendelea wanachezea afya zetu kiasi hiki?

    Hii ni kweli kabisa na wala sipingi..mimi Kuna kipindi nilikuwa nahisi kichwa kuniuma sana nikaenda hospital nikafanya check up.wakaniambia sina tatizo ila cholesterol ipo juu hvyo wakaniandikia hzo za statin za kumeza miezi mitatu nikachukua ila sikutumia hata kidonge kimoja mpaka leo ninazo...
Back
Top Bottom