Kwa nn msianzishe Chama chenu kama unaona cdm inakuzingua cdm sio mama yako wala baba yako. Kwa vyovyote itakavyokua mapambano ya kulikomboa taifa letu yataendelea mpaka watawala watakaojua kua hii nchi niyetu sote
Kutoka kwa mkosamali labda azicheze kalata zake vibaya,. Ushauli tu bwana ferix akae na jamaa wa cdm na cuf wapange mashambulizi ya kweli jamaa awaachie udiwani kote ambapo hakuna diwan mpinza na yy abane kwenye ubunge lakini akileta zalau kama alivyofanya kwenye selikali za mitaa itakula kwake...
tunaweka pesa kwa ajili ya 2015 uchaguzi tunahic utakua mgumu sana coz na cdm watakua na pesa wanazolimbikiza za luzuku.ila cc hatuna mda wakulimbikiza ruzuku wakati kuna maboya tunayaminya kwenye kodi na ikifika 2015 tunawaludishia kwa kuwapa tshart,kofia na kanga ili mtuchague tena kidumu...
huyu dogo zzk na kabulu wanatuzalilisha waha na matamaa yao. ili tuonekane waha wote wanatamaa kama ilivyo wao wakati ni wabembe pyua. hakuna muha KABWE wala KABULU hayo ni mabembe ya congo yanakuja kutuchafulia sifa ya mkoa wetu nakama kuna mtu anabisha kama sio wabembe ajitokeze aniambie maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.