Recent content by Nabado

  1. N

    Darasa la Siasa

    Mmh haya bwana.. Watoto wa wakubwa hao.
  2. N

    Darasa la Siasa

    Somo limenikaa sema unachoniuz ni kuisema vibaya ccm bila kusema mazur yake mkuu.. Tuko pamoja..
  3. N

    Darasa la Siasa

    Amepuuzwa sana huyu nashangaa anaandika na kujijibu mwenyewe.. Hivi ukiachana na kuandika makala za malalamishi na zisizo na facts huyu YERICKO NYERERE anajishughulisha na nini.?
  4. N

    Ushaidi wa uhusiano kati ya CCM na Interahamwe ni huu hapa!

    Ok mkuu basi kwa Mwinyi kuwashukia na kuwaweka hao watutsi kizuizini huko Mwanza sio hoja tena eti CCM ilihusika kuwasuport intarahamwe bado ni uzushi mkubwa..
  5. N

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    1. Zanzibar haijawahi kuridhia Muungano na kwa hivyo Hati ya Makubaliano ya Muungano [yenye saini ya kughushi] si halali 2. Nchi ya Tanzania ina wakuu wa nchi na maamiri-jeshi wakuu wawili na kwa hivyo ina mgogoro wa kikatiba uliozaliwa na mfumo wa serikali mbili 3. Mwl Nyerere alitumia...
  6. N

    Nalaani tamko la mwanafunzi wa DUCE katika vyombo vya habari

    Hawa si wanajidanganya mitandaoni vyuoni na mitaani wengi ni mbili.. Wameshastuka tatu hazina tija zitaleta vurugu za wasaka tonge si umeona hata kuzi defend tuu bungeni wameshindwa wamekimbia bunge wanakuja kwa wananch wakat katiba ikishatungwa wananch ndio wamwisho kuipitisha.. Sasa waswas wao...
  7. N

    Nalaani tamko la mwanafunzi wa DUCE katika vyombo vya habari

    Kaka hilo neno ni ma. lecturer au ma recturer?
  8. N

    Ushaidi wa uhusiano kati ya CCM na Interahamwe ni huu hapa!

    Haya naona unalazimisha facts zako ziwe kweli.. Kwa mfano jirani yako una ugomvi nae mpaka mkatukanana na kupeana vitisho mbalimbali hata kutishiana maisha, baada ya siku mbili huyo jirani yako akakutwa ameuawa kwa kuchomwa visu. Alafu wewe ukaonekana ukishangilia kwa furaha na ukinywa bar. Hebu...
  9. N

    Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

    Kwa mara ya kwanza kusikia akichangia bunge la katiba leo asubuhi nimejifunza mambo makuu yafuatayo. 1.Mwalimu hawawezi kukufundisha kila kitu anachokijua kwa kuwa anajua ukijua kila kitu unaweza kumzidi. Ukisikiliza namna alivyochangia utagundua kuwa Tundu Lissu alisoma vijarida tu vya sheria...
  10. N

    Ushaidi wa uhusiano kati ya CCM na Interahamwe ni huu hapa!

    Unajishushia thamani na kupoteza wasomaj wa makala zako . umejitia aibu na kujidhalilisha kuunga mkono stori zakufikirika kana kwamba ni kweli.
  11. N

    Ushaidi wa uhusiano kati ya CCM na Interahamwe ni huu hapa!

    Hawa ndio wanaharakati uchwara. Cha ajabu mwanafunzi wa Kubenea Yericko Nyerere naye ana support ujinga kama huu anasahau kama yeye ni muandishi makala gazeti la ----- anaunga mkono facts za uwongo kama hizi zenye stori za kufikirika.
  12. N

    Ushaidi wa uhusiano kati ya CCM na Interahamwe ni huu hapa!

    Hilo jina la hicho kikundi kuliandika tuu huwezi. Unatuambia nini sasa kwa usichokijua kama siyo uzushi wa kufirika tuu wa maandishi.?
  13. N

    Ushaidi wa uhusiano kati ya CCM na Interahamwe ni huu hapa!

    Tanzania. Alikuja huku kufanya nini.??
  14. N

    Nalaani tamko la mwanafunzi wa DUCE katika vyombo vya habari

    UKAWA kuna haja ya kukiharamisha... Wale ni M23 wa kitanzania.
  15. N

    Nalaani tamko la mwanafunzi wa DUCE katika vyombo vya habari

    Wewe una umri gani mpaka ujifanye unaijua sana ccm.? Japokua sijui chama chako ngoja nichukulie wewe ni chadema. Swali linakuja je wewe utashabikiaje chama cha wanaharakati badala ya chama cha siasa.?
Back
Top Bottom