Well said ila labda kocha asiwe Solskjaer!!
Hivi game ya leo dhidi ya PSG kulikuwa na ulazima wowote wa Fred kurudi uwanjani second half???
NB: Halafu hapo bench alikuwa na sub 5.
Well sidhani kama hilo ndio suluhisho la kukabiliana na mabadiliko ya kimwili coz masturbation ina madhara both physically and spiritually!!
Baadhi ya Madhara ni haya;
1. Masturbation inaleta self condemnation and guilty
2. Its addictive
3. Inafungua mlango wa roho chafu (nguvu za giza...
😂😂😂 kujitangaza hadharani sidhani kama ni vibaya lakini naamini ni hatua mojawapo ya kupata msaada na ushauri kwa watu waliowahi kupita kwenye shida ya namna hiyo ili waweze kushare mawazo namna ya kukabiliana na tatizo!!
Pasipo mashauriano ni rahisi kuanguka lakini katika wingi wa washauri...
Asante Mkuu nimekuelewa pia nilicho maanisha ni kwamba since masturbation ni kitendo ambacho humuingiza mtu kwenye addiction mara nyingi huwa ngumu mtu kuacha kwa urahisi hata kama ameamua kuoa na amekusudia kuacha since masturbation its addictive!!
Imagine kwa mtu ambaye amezoea kupiga punyeto...
Sahihi inaishi akilini tena kwa njia ya mawazo ndio maana mtu akifanikiwa kudhibiti mawazo mabaya yasipate nafasi ndani yake huwa kwenye nafasi nzuri ya kushinda lustful thoughts zinazopelekea mtu kufanya masturbation.
It is written be careful on how you think because your thoughts shapes your...
Alright kama umesoma vizuri tangu hii mada imeanza kuna baadhi ya shuhuda za watu zinasema wapo walioa na still wanapiga punyeto!!
Wapo watu ambao wamekiri kwa namna moja au nyingine kuwa walidhani kuoa ndio itakua suluhisho la kuacha masturbation lakini bado wamejikuta wapo kwenye tatizo lile...
Solution to masturbation siyo kuoa!!
Kwa sababu wapo wengi walio kwenye ndoa na bado wanapiga punyeto!!
NB: Naheshimu mawazo yako na mtazamo wako kwa kile unachoamini.
Glory be to God nakuombea pia brother!!
Keep on confessing your sin mbele za Mungu yeye ni mwenye rehema atakusamehe na kukupa hatua mpya.
if possible tafuta rafiki wa karibu na mwaminifu atakayekua anakutia moyo na kukuombea ili usipigane vita hii peke yako!!
Yakobo 5:16b
Ungameni dhambi...
Amen God bless you unayaweza mambo yote katika yeye akutiaye nguvu!!
Keep the good fight usikate tamaa the victory is yours!!
Zaburi 119:11 moyoni mwangu nimeliweka neno lako nisije nikakutenda dhambi!!
Jitahidi kwa msaada wa Mungu kusoma neno na kulitafakari ili kila mawazo ya kufanya...
Nakutakia kila la heri lakini fahamu upo kwenye spiritual warfare (vita vya kiroho) kwa sababu masturbation hufungua mlango mkubwa sana wa spirit of lust (roho ya uasherati) kuingia ndani ya mtu na hatimaye kumfanyà mtu kushindwa kujizuia unaposikia hamu ya kufanya masturbation.
Na kinachofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.