Kijiji chako Mkwawa kiko kwenye hali mbaya.
Tunaunganisha nguvu za wazumbe wote tuboreshe mazingira.
Karibu tuijenge Mzumbe yetu.
Tujivunie Mzumbe kwa vitendo...
Mkuu wa shule mstaafu mwalimu Msuka akiwa na wanachama wa alumni kwenye mahafali ya kidato cha sita.
Mwalimu Msuka ndiye aliyekuwa mkuu wa shule wa kwanza baada ya shule ya sekondari Mzumbe kupewa hadhi ya shule ya watoto wenye vipaji maalum...
Wanachama wa Mzumbe sec. alumni walipohudhuria mahafali ya kidato cha sita tarehe 25.04.2015. Katika mahafali hayo, alumni ilitoa zawadi kwa wanafunzi wote waliofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali pamoja na kukabidhi majengo yaliyokarabatiwa.
Mwenyekiti wa alumni nd. Eddy Talawa alikuwa mgeni...
Mwanachama wa alumni, Emmanuel Mhagama, akitathmini jengo ambalo litaanza kukarabatiwa hivi karibuni.
Pamoja na kuchanga pesa, wanachama pia wanajitolea kusimamia kazi za ujenzi.
Jumuiya ya wazumbe inatambua hali hiyo kama Mzumbe spirit...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.