chakwanza hauja muoa mnaishi sogea tukae,
mwambie kwa tabia hizi moja,mbili, tatu,sitaweza kuzivumilia full stop
ikiwa hatoweza kuishi kwenye njia zako basi
uvunje vioo vya nyumba,
mara achane nguo ise
hii kitu nimeshindwa kuisahau kabisa baada ya mimi Kukataa kwenda kumchukua alitangazia watu kuwa nimekataa mtoto,
pia ulisema bisahau kuwa nimezaa nae sababu nilimkataa mtoto,
hii kitu inaniuma mno
mtoto ni wangu na tunafanana mno ni wakike,
iliniumiza sana
tulivyoachana alienda kwa kaka yake ila alikataa kata kata kuwa ni rafiki yake tu hakuna chochote akataka mpaka anipeleke kwa huyu jamaa kuthibitisha mimi nilikataa, baada ya kuona mimi nipo kimya akaenda arusha kwa dada yake baadae...
mtoto niwangu na tunafanana sana ni wakike,
ila tulihitrafiana baada ya kuona hizo SMS zilileta mno utata mpaka kwa wazazi wake ilikuwa shida tukahitrafiana nilikuwa natuma pesa kwaajili ya mtoto baadae akauliza naenda kumchukua lini kwao kilimanjaro,na wazazi wake walitaka mimi niende ila...
mimi nilifumania SMS za jamaa amemmisi mpaka jamaa anaomba bibie wangu Amzalie mtoto,kumuuliza akapata hasira akaondoka
baadae ndo akarudi kuomba msamaha nilimwambia hatutaweza ishi pamoja tena.
maumivu yake acha kabisa huyu tulikuwa tunaishi mke na mume na tulikuwa na mtoto tayali.
mtu yeyote ambae mkijadiliana,au kupishana kwa kauli kidogo anataja Neno Bora tuachane hapo upendo haupo
abot mission mkuu tafuta marisho sehemu nyingine
nilikutana na mdada mda wote ananisimulia mambo ya x wake,
mara nafanana nae.
anakatika hovyo hovyo kama ana wazimu, anatoa mlio wa ajabu ana speed hata raha amna ni mchaka mchaka.nilivyoachana nae nikafuta namba yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.