Habari Zenu wakuu!!!!
Nataka anzisha biashara ya MICROFINANCE lakini Nimefanya utafiti nimeona lazima niwe na mtaji wa 20M ndo nipate kibali BOT , Sasa apa nikipiga hesabu kufikisha 20M ,Ni mpaka mwakani 2026, kwa savings zangu nazofanya kwa Sasa!
Swali Je, hii biashara huwezi kuiendesha...
Mihogo posta lazima utapiga pesa , kuna jamaa wameanzisha kuuza mihogo within this week pale mtaa wa sokoine\ luthuli posta , watoto wa IFM wanaifakamia kama maji.
Habari zenu wakubwa!
Nina mtaji wa laki moja nataka uza genge au niuze Machungwa ,je kwa mtaji huo utatosha kwa biashara ipii? kwa wataalamu unatosha wa hizo kazi??
Naheshimu mawazo yako!
Ubarikiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.