Recent content by mzingula

  1. M

    Mbatia aibua madudu mitihani darasa la 7!

    Sishangai kutokea makosa hasa kwenye masuala sensitive kama mtihani. Kuna watendaji wa serikali wameaminiwa kuamua masuala nyeti bila kuhasisha watu wengine. Si ajabu kukumbana na "typing errors" kwenye documents muhimu za serikali ikiwemo mitihani na barua mbalimbali tena zikiwa zimesainiwa...
  2. M

    Mbatia aibua madudu mitihani darasa la 7!

    Ha ha haaaa..... Makosa mengi sana hutokea katika idara za serikali hasa "typing errors". Hii inachangiwa na watumishi kufanya kazi kwa mtindo wa "Bora liende" ili mradi mishahara wanapokea na vijisemina wanahudhuria. Ni kulipualipua tu na mara nyingi hakuna mtu anaye hakiki.
  3. M

    Wananchi Pwani kuandamana kuipinga HLRC kwa kumshitaki PINDA na Werema!!

    Wasijumuishe wananchi wote wa Pwani. Those are hopeless citizens ambao wamepandikizwa tu na wanasiasa wa Chama tawala.Let us see ile kauli kama itafanya kazi"Tumechoka wapigwe tu". Hii nchi inapaswa kuendeshwa kwa utawala wa sheria na siyo ubabe.
  4. M

    Opportunist: WATAKULA WAPI?

    Ha ha haaaaaaa! Ukiwa opportunistic hulali njaa.
  5. M

    Question from Ms Christine from BBC News to Pres. Kikwete about HUMAN TRAFFICKING...

    Hajamuwajibisha huyo diplomat. Ndo maana ameshindwa kujibu lile swali kwa ufasaha kwani limekuwa la moto. Inaonekana hakutegemea kabisa issue ile kama ingekuwa serious kiasi hicho.
  6. M

    Game on - CCM kukata rufaa ushindi wa Lema

    Viva CHADEMA!
  7. M

    Rai ya Jenerali: Waziri mkuu asiye waziri mkuu, serikali iliyobinafsishwa - hatuendi kokote

    Congratulation Jr. Ulimwengu!! Hivyo ndivyo nchi ilivyo kwa sasa. Hilo liwe somo tosha kwa watumiao sanduku la kura katika mtazamo hafifu. MUNGU BARIKI TANZANIA!!
  8. M

    Zitto Kabwe na 'Saini za Wabunge 70' za kumg'oa Pinda - Tafsiri yangu

    Ifikie wawakilishi wetu bungeni wasimamie utaifa badala ya kufumbia macho uozo. The country now is rotten. Wasipofanya hivyo watasulubiwa na wananchi.
  9. M

    Hotuba ya MB-Nassari (CHADEMA) baada ya kutangazwa imeliza wengi

    Suala la maendeleo lipo chini ya wananchi wenyewe kupitia sanduku la kura. Wake up now and make your wise decision to resque the country. Democracy is peoples' power!!!! Congratulation Hon. Nassari.
Back
Top Bottom