CVM INAPOKEA SH NGAPI? MBONA INATUMIA MAGARI YA SERIKALI WANACHOFANYA NI KUBANDIKA NAMBA BINAFSI,MBONA WANATUMIA KUMBI ZA SERIKALI IKULU BADALA YA KUKODI KUMBI? MUDA MWINGINE TUMIA AKILI ZA MKEO
Miongoni wa kundi linalokula keki ya Taifa kwa mrija bila kujali umaskini wa Wananchi ambao ni wapiga kura ni hawa wabunge wa bunge letu.
Wabunge wetu wamekuwa Wanalipwa posho, mikopo ya magari, Fedha za Mfuko Mbunge na mishahara. Fedha zote hizo ni mamiliini ya Shillingi fedha ambazo ni kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.