Recent content by mzee wa ndinga

  1. M

    Gazeti la mwananchi limekuwa gazeti lisilojali maslahi ya Taifa la Tanzania

    We kwani umelazimishwa kulisoma? Kama linakukera kasome KIU.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Soko zuri la tangawizi ni wapi wadau? Msaada!

    duh.. ukiskia majanga ndo haya..ahsante Mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Soko zuri la tangawizi ni wapi wadau? Msaada!

    Hbr za asubuh wana Jamii.. kama kichwa cha hbr kinavosoma. mimi na wenzangu watatu tumelima tangawizi takribani heka 8.Na ninavoandika huu ujumbe, ni kwamba mzgo uko tayari kuvunwa kule Songea. Changamoto kubwa nikwamba nimekua nacheki bei sokoni naona zinasoma 2000 kwa kilo wakati ununuaji wa...
  4. M

    Hili gazeti la Uhuru ni vichekesho, wamefuta neno UKUTA kwenye fulana ya Lissu

    Dah.. mkuu wewe kweli una akili.. hata mimi nilikua sjaona kwamba ni tshirt ya sku nying.. hata na hyo suruali pia ya sku nying..he he he.. bro amka. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    ACACIA je watatulipa lini trillion zetu?

    Utasubir sana Mkuu....labda tuma akaunti yako kbsa wanaweza wakatupiamo kwako... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

    Wewe ulioleta huu uzi ulikua unafikiria nini?mimi nafikiri wewe ungeenda kwa shigongo akupe shavu ndani ya global publishers. Sorry to say..
  7. M

    Swali kwa Lissu: Mkataba wa MIGA unasemaje kama kampuni inafanya kazi bila kusajiliwa?

    Kweli humu JF sio kila mtu ni Great Thinkers.. wengine ni Great Ignorants
  8. M

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Ila kumbuka kwamba ths z an online company/biznec. Nina uhakika baada yakununua bidhaa ulipata risit kwenye email yako ikiendana na tshs ulizotoa. Kuhusu kutafuta mda wa biashara, ni jinsi gani unajipanga. Naamini kwa kupania na baada kuielewa biashara na jins gani utajitengenezea kipato, basi...
  9. M

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Ahsante mkuu kwa maelezo yako. Ofkoz, there is no easy money nor quick mny au asikwambie mtu kwamba thz z a fast get rich scheme. Ntaongeza kwa ulivyoweka bayana.Ila as long as umeielewa biashara na mfumo wake wakipato, kazi inabaki kwako. Tufanye kitu very simple guys,tafuta mda, kapate info...
  10. M

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Mwenye swali lolote aulize kuhusu Qnet aende website au njoo inbox ntajibu.watu wanabadirisha maisha yao, wewe unabaki unatoa macho oh DECI...
  11. M

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Opera Mini...naomba ufanye research yako vizuri kuhusu Qnet.ukitaka info iliyo sahihi nenda website ya kampuni. Internet,kila mtu anaandika anachotaka kwa jinsi ya maoni yake.sikushangai mkuu..hata haya ntayachukulia kama maoni.otherwize kama ulienda seminar, ukawa na mashaka, ungeuliza maswali...
  12. M

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    Dah.. I tell what guys, mimi nilivoona Magu kaunda kamati yake wakat bunge walikua wameunda yao pia nkawa najua kifuatacho ni majanga...haya ngoja tusubiri...
  13. M

    Zitto: Kuna harufu ya ufisadi katika ununuzi wa ndege mpya

    Nimepitia hapa wikipedia nikaona dreamliner zipo aina nyingi na bei inarange kuanzia 224m-306m $.kwahyo hapo panakua panachanganya kidogo
  14. M

    Ni kweli bilioni 10 zimejenga flat 20? Au tuna woga kuhoji gharama halisi?

    Common sense is nt common....haiwezekani serikali ikafanya vitu halafu wanatoa na takwimu za uongo watu tusihoji. Hi sio myaka ya 80 au 90...sasa hv info zinapatikana nje nje. Sasa kama info zinapatikana halaf tunapigwa changa la macho kwanini tusiulize? Nyie mnaosema hakuna haja yakuuliza kama...
  15. M

    Mhe. Rais, Mitandao ya kijamii yaweza kuangusha serikali. Actually, imewahi kuangusha serikali!

    Anaesema wanaomshauri ndo wanampoteza..hv unajua huyu jamaa ashauriki. Kama kitu akikisimamia hakuna anaeweza kumwambia vinginevyo.na hi tabia ni tangu yuko ujenzi(wizara). So make no mistake, huyu jamaa ni one man army. Umeskia juzi anakwambia kbsa cheti cha kwenda kugombea alifanya maamuzi na...
Back
Top Bottom