Recent content by Mzee Wa Kazi Chafu

  1. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Myles Lewis Skelly kwenye midfield 🔥🔥🔥 COYG⚪️🔴
  2. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Kwa Mudathir Yahya ifike mahala yanga wawe serious kwenye ile namba 8, kwa uchezaji wake ule huko Champions league sijui.
  3. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Naona kama leo tusiwatumie wachezaji wetu wapya wa kimataifa wengi ikibidi wawe watatu tu Zakouani au kangwanda kwenye winga ya mojawapo hasa ya kushoto na ile ya kulia wabaki Okello na Edmund John, Shalulile pale mbele maana hakuna finisher mzuri zaidi yake na mwingine labda Fred Ngoma kwenye...
  4. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    ila huyu Hans Rafael taarifa zake nyingi ni za kweli ni chache sana zinaenda tofauti ukimfatilia.
  5. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Yes kama watamtoa Okello ni bora zaidi wamchukue Aziz Ki kama kweli huko alipo kuna uwezekano wa yeye kutoka kuliko kubet kwa wachezaji wengine mwishoe yawe ya Lassine Kouma mchezaji anapotea msimu mzima hatumuoni 😄
  6. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Simba alikuwa na maingizo mapya mengi kwenye ile mechi, lakini Yanga alianza na wachezaji wake wale wale ambao chemistry ilikuwepo tayari kati yao ni kwa namna flani ilikuwa advantage kwa Yanga kushinda ile mechi
  7. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Uzuri Dudubaya alishawaambia kitakacho wakuta tukikutana nao. 😎
  8. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    nimeona mahali kwa yule Hans Rafael anasema hivyo, kama ni Okello mwenyewe ndo kataka kuondoka apo sawa, ila kama vinginevyo Yanga wawe makini japo naamini wapo makini, kwa huyo watakayemleta kwenye nafasi yake aje aingie kwenye timu moja kwa moja na awe fit kweli mi sitaki mambo ya Lassine...
  9. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    mm nataka Hersi amrudishe Feisal tu, mana tangu ameondoka bwana shemeji pale kwenye namba 10 tunapuyanga tu mara acheze maxi mara mudathir na wote wanazingua tu kama Mudathir ndo anaboa kweli saivi hata ile namba 8 bora acheze Maxi tu kwasasa.
  10. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Huu usajili binafsi sijauelewa kama kwakuwa mzize bado kurudi na ili mradi tutanue kikosi tu basi fresh. 😄
  11. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

    Huyu mpk atuelezee vizuri, mm bado ninae huyu.
  12. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

    Leta takwimu za kibu D mzee, kuja hapaaa
  13. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

    Oya leta takwimu mzeee
  14. Mzee Wa Kazi Chafu

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

    Oya leta takwimu mzeee...
Back
Top Bottom