Wadau kuna wadau wanahusiana na mambo ya ukimwi wako jiji la Mwanza watu wamesainishwa mkataba na kulipia mtihani 30,0000, kitambulisho 5,000. Vipi kuna uhalali kweli wanajiita HIV international, kuna ndugu yangu kasaini mkataba anaambiwa magari yapo bandarini lakini hawana hata viti kwenye...
Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafs.
Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa.
Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement.
Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu
Plasta yake ni nusu...
Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafsi
Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa
Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement
Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu
Plasta yake ni nusu...
Jamani watafuta ajira wenzenu nimebaini kuwa hawa jamaa matapeli kwani hata kwenye website hawapo hakuna namba ya simu then inabidi tumuuuliza jamaa aliyetuletea tangazo hili kalitoa wapi kwan hakuna kampuni kama hili huko sudani na wanataka hela kama work permit $ 45 nahic kuna mmoja wetu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.