Recent content by MZEE WA KADAWA

  1. M

    Hatimaye kumekucha WCF

    wcf hao senior finance officer
  2. M

    Hivi hii kampuni ya PCSP Mwanza ni matapeli?

    Wadau kuna wadau wanahusiana na mambo ya ukimwi wako jiji la Mwanza watu wamesainishwa mkataba na kulipia mtihani 30,0000, kitambulisho 5,000. Vipi kuna uhalali kweli wanajiita HIV international, kuna ndugu yangu kasaini mkataba anaambiwa magari yapo bandarini lakini hawana hata viti kwenye...
  3. M

    Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

    Ni mia sita kwa tofali kaka shaka ondoa kama vipi chek na mm nipe na ramani ya nyumba yako cheki picha na matofali haya hapa chini
  4. M

    Immagration call 4 intarview

    Nyagoda wenzangu pitieni gazet la mwananchi la tarehe 6 may 2013 all the best walioitwa kwa intaview
  5. M

    Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

    Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafs. Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa. Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement. Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu Plasta yake ni nusu...
  6. M

    Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

    Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafsi Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu Plasta yake ni nusu...
  7. M

    Kazi exec oil and gas comopany juba

    Jamani watafuta ajira wenzenu nimebaini kuwa hawa jamaa matapeli kwani hata kwenye website hawapo hakuna namba ya simu then inabidi tumuuuliza jamaa aliyetuletea tangazo hili kalitoa wapi kwan hakuna kampuni kama hili huko sudani na wanataka hela kama work permit $ 45 nahic kuna mmoja wetu wa...
  8. M

    Kazi za tasaf techinician and monitoring officer 30 post

    Wanazuon wenzangu naomba kupata habari juu ya post hizo ambazo waliallocate Pemba na Unguja au tayari wapo kazini ni hayo 2
  9. M

    I real need your help for employment...

    pole sana hata mm ninaendelea kusota kama wewe intaview kibao ila kupata kazi ndo imekuwa kazi
  10. M

    I real need your help for employment...

    pole sana mungu yupo atakusaidi jitahidi kutuma application na uckate tamaa
Back
Top Bottom