Recent content by Mzee wa Code

  1. Mzee wa Code

    KERO Abiria tunatumia gharama kubwa kufika stesheni ya SGR Dodoma, mamlaka ziweke kituo cha daladala

    najua tatizo kubwa la Dodoma sasa? Ni gharama kubwa za maisha, na hii inachochewa sana na viongozi, hasa Mkuu wa Mkoa. Kila siku wao wanapiga kauli kwamba Dodoma ni jiji la watu wenye pesa, sasa hiyo kauli inafanya kila huduma na bidhaa kuwa juu mno. Fikiria hivi, kutoka stesheni ya SGR Dodoma...
  2. Mzee wa Code

    Walimu wapasuka: Acheni chokochoko, heshimu CWT

    Walaani wastaafu wanaokikimbiza chama mahakamani… Wamtaja Rais Samia, Kikwete na Majaliwa kama mifano ya kuigwa Na Mwandishi Wetu Wanachama wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wameibuka kwa sauti moja na kulaani vikali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya viongozi wa zamani waliowahi kushika...
  3. Mzee wa Code

    Wagombea CCM Wafungwa Midomo: "Tunazuiwa Kukosoa, Huu Sio Uhuru Wala Demokrasia"

    Wimbi la ukimya linatawala mchakato wa kuchukua fomu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku wagombea na watia nia wakizuiwa kuzungumza hadharani kuhusu matarajio yao, hoja zao za msingi, au mapungufu ya wabunge na madiwani waliomaliza muda wao. Tangu kufunguliwa kwa dirisha la uchukuaji wa...
  4. Mzee wa Code

    DOKEZO Kasalali Mageni: Wafanyabiashara wa Asia na China wakwepa kodi kwa kuepuka Malipo ya Kielektroniki

    Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni, ameibua hoja kuhusu ongezeko la wafanyabiashara kutoka mataifa ya Asia, hususan China, akisema kuwa pamoja na wingi wao, wamekuwa na tabia ya kukwepa kodi. Akichangia makadirio ya bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Mageni amesema kuwa...
  5. Mzee wa Code

    Nyundo na wenzie wakataa rufaa kesi kuanza kusikilizwa kesho

    Kesi Maarufu ya Binti wa yombo iliyowakuta na hatia Vijana watano Nyundo na Wenzie inatarajiwa kuanzia kusikilizwa siku ya kesho katika kituo jumuishi cha kutoa haki jijini Dododma Nyundo na wenzie walihumumiwa kifungo cha maisha jera washitakiwa hao ni Clinton Damas (Nyundo), Praygod Mushi...
  6. Mzee wa Code

    Nafasi za ajira kwa Wataalam wa Afya katika Eli Hospital Arusha

    NAFASI YA AJIRA DODOMA MSAIDIZI WA OFISI NA MUHASUBU SIFA HIZI AGRONEXUS AFRICA COMPANY LIMITED Our company is situated at Dodoma dealings with buying, selling and export different commodities. Are you detail-oriented accounting professional and Personal Assistant (PA) looking to grow your...
  7. Mzee wa Code

    PreGE2025 Wabunge 19 walioingia mgogoro na CHADEMA wamegawanyika makundi kuelekea uchaguzi Mkuu 2025

    Wabunge 19 Walioingia Mgogoro na CHADEMA Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Wabunge waliokuwa sehemu ya mgogoro wa kisiasa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) sasa wamegawanyika katika makundi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Baadhi tayari wametangaza kujiunga na CCM na kutangaza...
  8. Mzee wa Code

    PreGE2025 Tulia Ackson awaruka wabunge, asema baadhi ya kauli zilizotolewa kwenye Mjadala wa Wizara ya Mambo ya Ndani si msimamo wa Bunge

    Spika wa Bunge, Tulia Ackson, amesema kuwa maoni yaliyotolewa na baadhi ya wabunge wakati wa mjadala wa bajeti za Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, hayawakilishi msimamo rasmi wa BUNGE Aidha, Spika Tulia amesema maoni hayo yalionesha viashiria vya ukiukwaji wa Kanuni za...
  9. Mzee wa Code

    GWAJIMA atimba mjengoni anawasikiliza

    Mbunge wa Kawa Josepht Gwajima akishiliki kikao cha Bunge leo Jioni Jijini Dodoma, wabunge kimya wameufyata awamtaji wamekimbia kwenye neno maadili
  10. Mzee wa Code

    Mkopo wa bilioni 2.85 chama cha walimu ziliafikiwa chini ya rais Leah Ulaya, walimu tumeshtuka, box la kura litaamua

    Ndugu wanachama, walimu wenzetu na mashabiki wa kweli wa maendeleo ya CWT, Wakati mwingine kimya si busara! Sasa tusikie na sisi tusikike. Ni muhimu kusema ukweli huu bila kupepesa maneno. Kwa muda mrefu tumekuwa tukishuhudia matumbo yasiyoshiba yakizusha kelele zisizo na msingi dhidi ya uongozi...
  11. Mzee wa Code

    Injinia Hesri ngoja nikusanue kuhusu nia yako ya ubunge Kongwa

    Ijinjia nakusania mapema kabla ayajakukuta najua unania ya kugombea ubunge katika jimbo la kongwa ambalo awali mbunge wake wa sasa job ndugai alitangaza atogombea tena ila nataka kukufahamisha ndugai anagombea tena jimbo la kongwa na watu unawamini kuwa watakusaidia kukuvusha ndio masinichi wa...
  12. Mzee wa Code

    PreGE2025 Job Ndugai abadili msimamo, sasa autaka tena ubunge wa Kongwa

    je unadhani kuna umuhimu wa kuwa na sheria ya ukomo wa ubunge kama urais?
  13. Mzee wa Code

    PreGE2025 Job Ndugai abadili msimamo, sasa autaka tena ubunge wa Kongwa

    😂😂😂 hawa ndio wanasema vijana wajiajiri
  14. Mzee wa Code

    PreGE2025 Job Ndugai abadili msimamo, sasa autaka tena ubunge wa Kongwa

    Aliyekuwa Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa kwa zaidi ya miongo miwili, Job Ndugai, ameibua mjadala mpya katika siasa za jimbo hilo baada ya kutamka kuwa atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025—miezi kadhaa baada ya kutangaza kuwa hatagombei tena. Mei 2022, Ndugai alisema...
Back
Top Bottom