Recent content by Mzee upako

  1. Mzee upako

    Naomba kueleweshwa majbu haya ya NACTE

    Vyuo vilivyo na nafasi nmesha viona tatizo linakuja napotaka ku apply list ya vyuo inayokuja tofauti na vyuo vilivyopo kwenye profile nifanyaje
  2. Mzee upako

    Naomba kueleweshwa majbu haya ya NACTE

    Ukifanikiwa tuambizane mkubwa
  3. Mzee upako

    Naomba kueleweshwa majbu haya ya NACTE

    Wadau naomba Masada kwa alie fanikiwa ku apply kwa Mala ya pili naomba anieleweshe maana MI nashindwa vyuo vilivyopo kwenye guide book unapotaka kuchagua havionekani msaada tafadhari
  4. Mzee upako

    NACTE wamefungua System kwa walikosa nafasi apply Sasa!

    Naomba ushauli mkuu nfanyeje nilifanya application mala ya kwanza lakn nilikosa nafasi wametoa kwa mala ya pili nkijalibu kutuma maombi naambiwa tayar nina acount nifanyaje
  5. Mzee upako

    Matokeo ya NACTE yametoka?

    [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] umenena kiongozi
Back
Top Bottom