Recent content by Mzee T

  1. M

    Ebitoke ni maskini sana jamani khaaa.

    Mtoa mada amechemka. Hiyo picha ni pozi tu. Familia ilitaka ukumbusho baada ya kutoka kwenye kazi za kilimo 'na mihangaiko. Unadhani hata maji yalikosekana? Hilo pozi og. Hawa kutaka picha,za kisasa za kukubadili. Ebitoke kila siku yuko natural. Toa heshima kwake
  2. M

    SHEMEJI KAMA HUYU UNAMFANYAJE ?

    Jamani ni anamtetea shemeji. Anajua kuandika ila aliandika msg kwa hofu asibambwe 'na bro. Sasa ukiingia tu umenasa utajuta kumfahamu shemeji.
  3. M

    Hivi kwanini wanaume wanakubali kusomeshwa na kulishwa na kuhifadhiwa na familia ya mwanamke?

    Hivi Mona sielewi hapa? Si mnasema Mwanaume mashine? Haya yanatoka waking Rena? Aunt mashine imeharibika ndo anajulishwa mtu? Naomba asijekuwa Mimi Jamani. Wakwe zangu wametupatia hadi nyumba ili mtoto wao apate raha ya milele. Usinichuze wewe
  4. M

    Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

    Nadhani shida siyo mali hapa. Anzeni kuomba toba kwa kila aliyewahi kuchepuka maana mnamhukumu mke wa mtu bila kuthibitisha. Kwani kuna kapicha ka kuchepuka na huyo white? Mbona picha zote ni kama za mzee G. alizopiga miaka 10 na familia?
Back
Top Bottom